tarehe Iliyowekwa: October 30th, 2023
Maonesho ya SIDO Kitaifa yanaendelea katika Uwanja wa sabasaba Mkoani Njombe tangu yalipo anza tarehe 28 Oktoba mwaka huu na yanatarajiwa kumalizika kesho tarehe 31 Oktoba 2023.
Mkurugenzi Mtendaji...
tarehe Iliyowekwa: October 28th, 2023
Mkutano wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa wa robo ya kwanza ya mwaka 2023/2024 umefanyika leo tarehe 28 Oktoba 2023 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya...
tarehe Iliyowekwa: October 28th, 2023
Chrispin Kalinga - Ludewa
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Isdor Mpango, amefanya ziara ya kikazi ya siku tatu katika Mkoa wa Njombe ambapo alianza ziara yake tarehe 2...