tarehe Iliyowekwa: February 20th, 2023
Afisa Mtendaji wa Kata ya Ludewa Ndg. Alanus Bunda leo Februari 20,2023 ameongoza kikao cha wadau wa Kilimo kilicholenga kutoa elimu kwa vijana na kujishughulisha katika Kilimo cha mbogamboga na...
tarehe Iliyowekwa: February 17th, 2023
Kaimu Kamanda wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Wilaya ya Ludewa S/SGT. Anord C. Mkingule ameripoti rasmi leo Februari 17, 2023 katika Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Ludewa na kupokelewa na Kaimu Katibu Taw...
tarehe Iliyowekwa: February 16th, 2023
Serikali yachukua hatua za haraka mara baada ya bweni la wavulana kuungua moto usiku wa Februari 14, 2023 katika shule ya sekondari Lugarawa wilayani Ludewa.
Zoezi la kuhakikisha wanafunzi wanaende...