tarehe Iliyowekwa: August 17th, 2023
Ujenzi wa Madarasa 2 ya Mfano ya Elimu ya awali shule ya Msingi ya Ludewa Mjini na matundu 6 ya vyoo umekamilika kwa gharama ya Milioni 69,100,000...
tarehe Iliyowekwa: August 17th, 2023
Ujenzi wa Majengo 3 na ukarabati wa Hospital ya Wilaya ya Ludewa upo hatua za ukamilishaji, ambapo ujenzi huo umegharimu kiasi cha shilingi Milioni 900...
tarehe Iliyowekwa: August 16th, 2023
Na. Chrispin Kalinga
Kamati ya Siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ludewa inaendelea na ziara yake ya Ukaguzi wa utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa kupitia fedha za ma...