tarehe Iliyowekwa: March 22nd, 2022
MKUU WA WILAYA YA LUDEWA ANATOA WITO KWA WAZAZI/WALEZI WENYE WATOTO CHINI YA UMRI MIAKA MITANO (5) KUWAPELEKA WATOTO KWENYE VITUO VYA AFYA ILI WAPATIWE CHANJO YA POLIO...
tarehe Iliyowekwa: March 21st, 2022
Leo Machi 21, 2022 Kaimu Mkurugenzi Wilaya ya Ludewa Bw. Gilbert Ngailo ameongoza kikao cha robo tatu ya kamati ya Wilaya ya Kupinga ukatili dhidi ya Watoto na Wanawake.
Aidha wakati wa kikao hicho...
tarehe Iliyowekwa: March 19th, 2022
Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa imetoa Vyandarua 80 katika shule ya msingi Mundindi ya watu wenye mahitaji maalum
Akikabidhi vyandurua hivyo Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Bw. Gil...