tarehe Iliyowekwa: August 18th, 2022
Kikao cha baadhi ya Waheshimiwa Madiwani na Wakuu wa idara pamoja na Watendaji wa kata wamekaa leo katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa ikiwa ni maandalizi ya Mkutano wa Baraza la Madiwani...
tarehe Iliyowekwa: August 18th, 2022
Jana Agasti 17, 2022 Mbunge wa Jimbo la Ludewa Mhe. Joseph Kamonga alifanya mikutano miwili ndani ya kata ya Ludewa mjini, Mkutano wa kwanza ulifanyika Mdonga na wa pili ulifanyika sokoni Ludewa mjini...
tarehe Iliyowekwa: August 17th, 2022
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Anthony Mtaka leo tarehe 17/08/2022 amefanya mazungumzo na Balozi wa Tanzania nchini Saudi Arabia Mhe. Ali Jabir Mwadini ambaye amefika na mwekezaji anayehitaji kujenga kiw...