tarehe Iliyowekwa: July 31st, 2021
Mbunge wa Jimbo la Ludewa Wakili Msomi Mhe. Joseph Zacharius Kamonga amewaasa Waheshimiwa Madiwani Katika Jimbo lake Kujipanga kuipokea miradi mikubwa ya uchimbaji madini ya Makaa ya mawe Mchuchuma na...
tarehe Iliyowekwa: March 4th, 2021
Wadau wa Lishe Wilayani Ludewa wamekutana katika kikao cha dharula ili kutathmini hali ya Lishe katika Wilaya hiyo. Mratibu wa Lishe Wilayani humo Bi. Neema Noah amesema wamelazimika kukutana kwa dhar...
tarehe Iliyowekwa: February 19th, 2021
Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa imepokea Fedha za Ujenzi wa Ofisi Mpya za Halmashauri hiyo kongwe Nchini kutoka Serikali Kuu. Mradi huo ni moja kati ya miradi mingi ambayo inatekelezwa Nchi nzima kati...