• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

KAIMU MKURUGENZI AAGIZA ELIMU YA KULIFIKIA DAWATI LA JINSIA IWAFIKIE WANANCHI ITAPUNGUZA UKATILI DHIDI YA WATOTO NA WANAWAKE

tarehe Iliyowekwa: March 21st, 2022

Leo Machi 21, 2022 Kaimu Mkurugenzi Wilaya ya Ludewa Bw. Gilbert Ngailo ameongoza kikao cha robo tatu ya kamati ya Wilaya ya Kupinga ukatili dhidi ya Watoto na Wanawake.

Aidha wakati wa kikao hicho PC. Mwanaisha S. Hamisi wa Dawati la Jinsia na Watoto la Polisi  Wilaya ya Ludewa,pamoja na mambo mengine amewasilisha taarifa ya utekelezaji wa Afua za kutokomeza ukatili dhidi ya watoto na wanawake kwa kipindi cha kuanzia Mwenzi Januari hadi Machi 2022.Akaongeza kwa kusema kuwa Dawati la Jinsia la Polisi lipo ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa hivyo anawaomba wananchi kutoa taarifa za Ukatili kwenye Dawati hilo popote ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa kwenye Vituo vya Polisi.

Kwa upande wake Mjumbe wa kikao hicho Sheikh wa Wilaya ya Ludewa Haruna Rahim amemuomba Kaimu Mwenyekiti wa kikao cha robo tatu ya kamati ya Wilaya ya Kupinga Ukatili dhidi ya Watoto na Mwanamke Ndg.Gilbert Ngailo,kuwa anaomba lianzishwe na Jukwaa la ukatili dhidi ya wanaume wanao fanyiwa ukatili lianzishwe.

Aidha wakati wa majadiliano hayo  juu ya ombi la Sheikh Haruna Rahim kuomba kuanzishwe Jukwaa la Ukatili dhidi ya wanaume wanao fanyiwa ukatili lianzishwe, Mjumbe wa Kikao hicho Afisa Mradi wa Mwanamke imara kutoka Shirika la WILDAF Mkoa wa Njombe amejibu ombi la Sheikh Haruna Rahim kuwa Dawati la Jinsia na Watoto ,lipo kwa lengo la kusikiliza na kuchukua hatua stahiki kwa wale walio fanyiwa ukatili,lakini uwepo wa Dawati hilo haimaanishi kwamba wanao takiwa kwenda kupeleka ukatili huo ni watoto na wakinamama tu,Hapana bali Dawati hilo lipo kwaajili ya wote,Ukatili dhidi ya watoto,Wanawake na Wanaume.

Sambamba na hayo Mwenyekiti wa kikao hicho Ndg. Gilbert Ngailo amewasisitiza wajumbe wote kuendelea kutoa elimu kwa wananchi ili waondokane na Ukatili kwa watu wote.Sambamba na hayo akaongeza kwa kusema kuwa tunapo zungumzia ukatili tunazungumzia Ukatili wa Kimwili,Ukatili wa Kiuchumi,Ukatili wa Kihisia na Ukatili wa Kingono.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.