• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

tarehe Iliyowekwa: February 19th, 2025

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mh. Dkt. Selemani Jafo, ameiambia jamii ya Watanzania kwamba mradi wa Liganga na Mchuchuma utaanzishwa hivi karibuni, na kwamba utakuwa na manufaa makubwa kwa uchumi wa taifa. Akizungumza wakati wa ziara yake katika mkoa wa Njombe, Mh. Jafo alisisitiza kuwa serikali iko katika hatua za mwisho za maandalizi ya utekelezaji wa mradi huo muhimu, ambao utachochea maendeleo katika sekta ya viwanda na kuongeza ajira kwa wananchi.


Mh. Jafo alisema kuwa, mradi wa Liganga ni mojawapo ya miradi mikubwa ya kimkakati ambayo itachangia kwa kiasi kikubwa katika ukuaji wa uchumi wa nchi, hususani kupitia uzalishaji wa chuma, ambacho ni malighafi muhimu katika viwanda mbalimbali. Alieleza kuwa, kuanzishwa kwa mradi huo kutaleta mageuzi katika sekta ya madini, ambapo Tanzania itakuwa miongoni mwa nchi zitakazozalisha na kutumia chuma kwa ajili ya viwanda vyake.


"Mradi wa Liganga na mchuchuma utakuwa na manufaa makubwa kwa taifa letu. Tunasimamia kwa karibu hatua zote za utekelezaji na tutahakikisha kuwa mradi huu unawanufaisha wananchi na kuchangia ukuaji wa viwanda na ajira," alisema Mh. Jafo.


Aidha,Mbunge wa jambo la Ludewa, Mh. Joseph Kamonga, ameiomba serikali kupitia Waziri wa Viwanda na Biashara, Mh. Dkt. Selemani Jafo, kujenga kituo cha kupoozea umeme katika wilaya ya Ludewa, mkoani Njombe. Ombi hili linatokana na hitaji la kupata umeme wa kutosha kwa ajili ya kuendesha viwanda vikubwa na kuchochea maendeleo ya viwanda katika mkoa wa Njombe.


Akizungumza wakati wa ziara ya Mh. Jafo katika wilaya ya Ludewa, Mh. Kamonga alisema kuwa, uwepo wa kituo cha kupoozea umeme utasaidia katika upatikanaji wa umeme wa kutosha na wa uhakika, jambo litakalowawezesha wananchi na wawekezaji kuanzisha na kuendeleza viwanda vikubwa katika wilaya hiyo. Alisisitiza kuwa, umeme wa kutosha ni muhimu katika kufanikisha malengo ya serikali ya kuendeleza sekta ya viwanda na kuimarisha uchumi wa taifa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • SEMINA YA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KWA MAAFISA WAANDIKISHAJI NGAZI YA KATI YAFANYIKA HALMASHAURI YA WILAYA LUDEWA

    January 05, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.