tarehe Iliyowekwa: May 21st, 2022
Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa anawaalika Watanzania wote tarehe 23-25/05/2022 kwenye mnada wa Mbao utakao fanyika Kata ya Madope saa mbili kamili asubuhi.
Mbao hizo ni za aina...
tarehe Iliyowekwa: May 20th, 2022
Ziara anayo endeleanayo Afisa Habari wa Halmashauri wa Wilaya ya Ludewa Ndg. Chrispin Kalinga ya Kutembelea miradi ya maendeleo kwenye Halmashauri hiyo yenye lengo la kuiangazia na kuwahabarisha watan...
tarehe Iliyowekwa: May 20th, 2022
Kikao kazi cha wadau wa pembejeo za Kilimo kimefanyika leo Mei 20, 2022 katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa.
Akiongoza kikao hicho Afisa Kilimo wa Wilaya ya Ludewa Bi. Clementina Kabak...