• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

MTENDAJI WA KATA YA LUDEWA ALANUS MBUNDA AMESEMA MABILIONI YA FEDHA YAMEPELEKWA KWENYE UTEKELEZAJI WA MIRADI KATANI KWAKE.

tarehe Iliyowekwa: September 5th, 2023

Na. Chrispin Kalinga

Afisa Mtenda wa Kata ya Ludewa Ndg. Alanus Mbunda wakati akihojiwa na waandishi wa Habari katika ziara ya Afisa Habari na Mawasiliano Serikalini iliyoanza tarehe 01 Septemba 2023 ya kutembelea miradi inayotekekelezwa kwenye Tarafa ya Mawengi na ziara hiyo iliyomilika tarehe 04 Septemba 2023 alisema kuwa, serikali ya awamu ya sita ndani ya kata ya Ludewa imeleta fedha za kuteketeza Miradi mbalimbali zaidi ya shilingi Bilioni 10 katika sekta mbalimbali ikiwa ni pamoja na kutekeleza miradi ya Miundombinu ya Barabara, Elimu, Afya, Maji pamoja na Mawasiliano.

Wakati wa kujibu swali aliloulizwa na waandishi wa Habari lililohoji kuwa, kwa kipindi cha miaka miwili ya Rais Samia Nini kimefanyika kwenye kata yako? Mtendaji Mbunda alisema kuwa, "Zaidi ya Bilioni 10 zimeletwa kwenye kata ya Ludewa, na ninaimani kuwa kata ya Ludewa ni miongoni mwa Kata zilizopokea fedha nyingi kiliko zote kwenye kata za Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa, hapa Ludewa tumepewa fedha ya ujenzi wa kipande cha lami  cha kwenda Manda, kipande cha lami cha kwenda Lupingu na bado Barabara za mitaa ukianzia hapa Mkondachi imewekwa lami,ukienda kwenye Miundombinu ya Maji hapo tumepewa zaidi ya Bilioni 5 za Mradi wa Maji pale kilimahewa, tumejengewa Mnara wa simu kule Kijiji cha Ludewa K, bado serikali imetujengea Ikulu ndogo hapa Mjini, Jengo la utawala la Ofisi za Mkurugenzi linabadilisha taswila ya mji kwa kupendeza kwake hivyo ninakila sababu ya kupiga kigeregere kwenye miradi hii mikubwa, yote hii ni kwa jitihada za viongozi mahiri, wachapakazi na wenye kupenda Maendeleo wakiongozwa na Amiri Jeshi Mkuu, Rais wetu mpendwa Mhe. Samia Suluhu Hassan". alisema Mbunda

Aliendelea kwa kusema kuwa "Ukija kwenye Jimbo yupo Mbunge Mhe. Joseph Kamonga kazi yake inaonekana na sisi wanaludewa tunamshukuru sana kwasabu bila ya yeye kupaza sauti haya mafanikio tungeyasikia kwa mbali, lakini kwasababu yupo anachapa kazi kwa kushirikiana na waheshimiwa Madiwani wakiongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Wise Mgina kazi inaendelea kwa Kasi" alimesema Bw. Mbunda

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.