• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

SEMINA YA MAFUNZO YA UBORESHAJI WA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA KWA MAAFISA WAANDIKISHAJI NGAZI YA KATI YAFANYIKA HALMASHAURI YA WILAYA LUDEWA

tarehe Iliyowekwa: January 5th, 2025

Afisa Mwandikishaji Ndg. Mathan Chalamila amewasisitiza Waandishi Wasaidizi ngazi ya Kata kuwa makini katika mafunzo watakayopewa ili waweze kusimamia zoezi la uandikishaji wapiga kura kwa umakini. Aidha amesisitiza kutunza vifaa watakavyopewa katika mazingira mazuri na salama.

Pia Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri Ndg. Sunday Deogratias aliyekuwa mgeni mwalikwa wa semina hii, amesisitiza kwamba elimu ambayo imetolewa itasaidia kutekeleza majukumu ya ujazaji fomu na kutumia mfumo wa kuandikisha wapiga kura (voters registration system-VRS). Amesisitiza kusoma miongozo iliyotolewa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi kwa ajili ya uelewa zaidi.

Ikumbukwe kuwa zoezi la Uboreshaji wa daftari la Mpiga Kura litaanza tarehe 12 hadi 18 Januari 2025, na vituo vitafunguliwa saa 2:00 asubuhi hadi 12:00 jioni. Kila mwananchi anahimizwa kujiandikisha kwa muda uliopangwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUDEWA December 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA LUDEWA December 31, 2025
  • TANGAZO LA MKUTANO WA WAFANYABIASHARA WOTE UTAKAO FANYIKA TAREHE 6 JUNI 2024 May 29, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI MADUKA YALIOYOPO UWANJA WA MPIRA, STENDI NA SOKONI KUPITIA TAUSI PORTAL May 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA LUDEWA AWAASA WATUMISHI WAPYA KUTUMIA FURSA ZILIZOPO KUJIJENGA KIUCHUMI

    September 02, 2025
  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Watumishi Portal - ESS
  • NeST

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.

  • HUSKYSLOT
  • ROBOSLOT
  • TAHUPLAY
  • AWPSLOT
  • DANATOTO
  • Situs Toto
  • situs toto