• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

Watendaji wa Vijiji na Mitaa marufuku kuwatoza wananchi fedha ya kugonga mihuri katika fomu ya Ajira ya SENSA

tarehe Iliyowekwa: May 12th, 2022

Waajiri na watendaji wa Kata ,Mitaa na Vijiji wametakiwa kutopokea fedha kwa waombaji wa nafasi ya ukarani katika zoezi la sensa ya watu na makazi itakayofanyika agosti 23 mwaka huu Nchini kote kwani tabia hiyo haikubaliki.

Rai hiyo imetolewa leo na Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi  Mwaka 2022,Mhe. Anna Makinda katika kikao kazi cha Maafisa habari, Mawasiliano na Uhusiano wa Serikali kinachofanyika mkoani Tanga.

Mhe. Makinda amesema kuwa, wapo baadhi ya waajiri kutaka watumishi wao kutoa fedha ili wapitishe maombi yao sambamba na watendaji kutaka malipo ili kugonga mihuri katika fomu za maombi ya ukarani wa sensa.

Ametoa angalizo kwa wananchi na watumishi wote wenye nia ya kuomba kazi ya ukarani wa sensa kutotoa fedha yoyote ili kupata kazi ya sensa,kwani maombi hayo yanapokelewa kupitia mtandao na sio ana kwa ana, ili kupata watu wenye uwezo na sifa na sio kwa kigezo cha undugu au kufahamiana.

Aidha,amesema kuwa maandalizi ya sensa hadi sasa yamekamilika  kwa asilimia 81,hivyo wananchi wajiandae kuhesabiwa ili kupata takwimu sahihi za watu na majengo yaliyopo nchini.

"Sensa ya mwaka huu ina sehemu kuu mbili,sehemu ya Sensa ya watu na sehemu ya Sensa ya majengo, ambayo kwa mara ya kwanza    inafanyika nchini mwaka huu  ili kutambua idadi ya majengo yaliyopo nchini na matumizi yake ili kuwezesha Serikali katika sera ya ardhi",alisema Makinda.

Nafasi za ukarani wa sensa ni karani wa kuhesabu watu,karani wa usimamizi wa maudhui na karani wasimamizi wa TEHAMA na sifa kuu ya mwombaji wa nafasi hizo ni pamoja na uwezo wa kutumia Simu janja kwani Sensa ya mwaka huu itatumia TEHAMA tofauti na sensa zilizopita.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.