• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

Ziara ya Mbunge inaendelea kwenye kila Kata

tarehe Iliyowekwa: July 25th, 2023

unge wa Jimbo la Ludewa Mhe. Joseph Kamonga ananendelea na ziara ya kutembelea kijiji kwa kijiji ndani ya Wilaya ya Ludewa.

Mhe. Mbunge aliaanza rasmi ziara yake Julai 7, 2023 ambapo mpaka sasa amefanikiwa kuzifikia kata 10 kati ya 26 na vijiji 29 kati ya 77.

Malengo na Matamanio ya Mhe. Mbunge ni kuhakikisha anazifikia kata zote 26 na vijiji vyake 77  kwa lengo la kupeleka mrejesho wa yale waliyo mtuma akayawasilishe Bungeni , kuelezea utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya Chama Cha Mapinduzi CCM 2020 - 2025. na kusikiliza kero za wananchi kwaajili ya kuzitafutia ufumbuzi.

Kwa upande wa kata mpaka jana Julai 23, 2023 Mhe. Mbunge amefanikiwa kuzifikia kata zifuatazo ambaoo leo ataendelea na kata ya Mkongobaki

1. Madilu

2. Madope

3. Lubonde

4. Lupanga

5. Mlangali

6. Iwela

7. Mundindi

8. Mavanga

9. Nkomang’ombe

10. Lugarawa

Na kwa upande wa vijiji, Mhe. Mbunge amefanikiwa kuvifikia vijiji vifuatavyo na kufanya mikutano ya hadhara.

1. Ilininda

2. Ilawa

3. Mfalasi

4. Manga

5. Madilu

6. Mangalanyene

7. Madope

8. Luvuyo

9. Mkiu

10. Masimbwe

11. Kiyombo

12. Ligumbiro

13. Lufumbu

14. Mlangali

15. Itundu

16. Kimelembe

17. Nkomang’ombe

18. Iwela

19. Amani

20. Mundindi

21. Njelela

22. Mavanga

23. Mbugani

24. Lupanga

25. Lusala

26.  Utilili

27. Shaurimoyo

28. Mdilidili

29. Lugarawa.


Mhe. Mbunge anatoa shukrani za dhati kwa wale wote walio shiriki na wanaoendelea kushirki kufanikisha ziara hii kuanzia Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi ndani ya Wilaya ya Ludewa, Waheshimiwa Madiwani wa Kata zote alizo fanya ziara, Wataalamu kutoka Ofisi ya Mkurugenzi na Ofisi ya Mkuu wa Wilaya bila kuwa sahahu wananchi ambao walijitokeza kwa uwingi kumpokea na kumsikiliza


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.