• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

ZIARA TARAFA YA LIGANGA,KATA YA LUGARAWA-KIJIJI CHA MDILIDILI-SHULE YA SEKONDARI LUGARAWA.

tarehe Iliyowekwa: February 24th, 2023

Jana Februari 23, 2023 Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Mhe. Victoria Mwanziva ameambatana na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Mhe. Wise Mgina, Kaimu Katibu Tawala wa Wilaya ya Ludewa Ndg. Daniel Ngalupela pamoja na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa pamoja na Kamati ya Usalama ya  Wilaya ya Ludewa na  kufanya kikao kazi na  wananchi wa Kata ya Lugarawa juu ya majanga ya moto yaliyotokea Februari 14 na 21, 2023 katika mabweni ya Shule ya Sekondari Lugarawa.

Katika kikao hicho Mkuu wa Wilaya amepokea taarifa ya maendeleo ya ukarabati wa bweni la wanafunzi wa kiume shuleni hapo; baada ya Ushirikiano baina Ya ofisi ya Mkuu wa Wilaya na ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa, Mbunge wa Jimbo la Ludewa na wadau mbalimbali zikiwemo taasisi za kidini na wananchi waliojitolea na kukarabati Bweni  Baada ya ajali ya moto kutokea tarehe 14 Februari 2023.

Sambamba na hilo Mkuu wa Wilaya  amepokea taarifa za jaribio la kuchoma bweni la watoto wa kike lililofanyika Februari 21, 2023 na kupelekea kuungua kwa magodoro matatu, shuka na blanketi lakini uharibifu wa miundombinu uliotokea katika harakati za kuuzima huo moto.

Mkuu wa Wilaya ameelekeza Idara ya zima moto Wilaya kutoa Elimu mashuleni na kwa wananchi juu ya namna ya kupambana na majanga ya moto.

Amewaomba Wananchi na wanafunzi kutoa ushirikiano kwa vyombo vya ulinzi na usalama, sambamba na kamati iliyoundwa kuchunguza majanga hayo ili kubaini vyanzo vya moto na wahusika kutokana na ushaidi na viashiria husika.

Aidha, Mkuu wa Wilaya amewaasa wanafunzi kuongeza juhudi katika masomo yao ili wanendelee kufanya vyema ngazi ya Mkoa na Taifa kwa ujumla.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan- ameonesha dhamira ya kuendelea kuboresha Taaluma nchini- kwa Kuongeza Bajeti za miundombinu ya Elimu hivyo ni wajibu wa wananchi kutunza miundombinu hiyo kwani ni uwekezaji Wenye manufaa kwa jamii.

Mkutano huu wa umma ulitoa nafasi ya wananchi kuwasikiliza viongozi wa ngazi  mbalimbali na kwa umuhimu zaidi kutoa maoni yao, ushauri wao katika kustawisha Taaluma na maendeleo ya jamii kiujumla.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.