• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

WAZIRI WA MALIASILI NA UTALII AFANYA ZIARA YA KIKAZI LUDEWA

tarehe Iliyowekwa: February 5th, 2023

Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe.Balozi Dkt. Pindi Chana jana Februari 04,

2023 amefanya ziara ya kikazi ya siku moja Wilayani Ludewa na kukagua

miradi mbalimbali inayotekelezwa na

Wakala wa Huduma za Misitu

Tanzania (TFS) Wilayani Ludewa.

Pamoja na mambo mengine, amezindua zoezi la upandaji miti katika

wilaya ya Ludewa na kushiriki zoezi la upandaji miti zaidi ya 300

ambayo imepandwa katika eneo la shule ya sekondari Ludewa. Pia

ametembelea bweni linalojengwa katika shule ya sekondari Ludewa

Kwanza ambayo ni Shule Teule.

Aidha, Mhe. Waziri Balozi Pindi Chana amekabidhi gari moja lenye

thamani ya shilingi milioni 170 litakalotumika katika shughuli mbalimbali

za Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) Wilayani Ludewa.

Katika ziara hiyo Mhe. Waziri aliambatana na viongozi mbalimbali

akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Mhe. Victoria Mwanziva,

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Mhe. Wise Mgina. Pia

walikuwepo Mbunge wa Jimbo la Ludewa Mhe. Joseph Kamonga,

Viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ludewa

wakiongozwa na Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Ludewa Ndg. Stanley

Kolimba,Wakuu wa divisheni na vitengo wakiongozwa na Kaimu

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Bw. Gilbert

Ngailo.

Wakati akiwahutubia wananchi wa Wilaya ya Ludewa katika ukumbi wa

Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Mheshimiwa Waziri amepokea zawadi

ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu

Hassan kutoka kwa umoja wa wanaweke wa Chama cha Mapinduzi

(UWT) Wilaya ya Ludewa. Zawadi hiyo imetolewa kama alama ya

shukrani kwa Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna

anavyochapa kazi na kuipa Halmashauri ya Ludewa fedha kwa ajili ya

miradi mbalimbali ya maendeleo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.