• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA AMEFANYA KIKAO KAZI WILAYA YA LUDEWA.

tarehe Iliyowekwa: October 12th, 2023

Na. Chrispin Kalinga - Ludewa

Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Barozi. Dkt. Pindi Hazara Chana leo tarehe 12 Oktoba 2023 amefanya kikao kikazi katika Ofisi ya Mkuu ya Wilaya ya Ludewa ambapo hapo amepokelewa na Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Mhe. Victoria Mwanziva akiwakilishwa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Ludewa Ndg. Gilbert Ezekiel Sandigila.

Kikao hicho kimehudhuliwa na viongozi mbalimbali akiwemo Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Ndg. Sunday Deogratias akiwakilishwa na Bw. Castor Kibasa, Wajumbe wa Kamati ya Usalama ya Walaya ya Ludewa, Watumishi wa Mahakama, Wakuu wa Divisheni na Wakuu wa Vitengo vya Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa pamoja na Viongozi wa Taasisi za Umma.

Wakati akitoa salamu zake za serikali Mhe. Barozi Pindi Chana amesema kuwa kuwa, “Naomba nitumie nafasi hii kuwaasa wananchi wote wa Wilaya ya Ludewa na Watanzania wote kwa ujumla kutii sharia bila shuruti ili kudhibiti matukio ya kiuarifu, serikali imejipanga vyema kutokomeza matukio ya kiuvunjifu wa Amani na tupo tayar kuwachukulia hatua kali za kisheria wale wote watakaovunja sharia, na kwasasa serikali inaendelea kuboresha na kuanzisha mahakama mbalimbali hapa nchini na tunajenga Magereza za kutosha.” Amesema Mhe. Pindi Chana.

Aidha, Waziri wa Katiba na Sheria nchini Tanzania Mhe. Barozi. Dkt. Pindi Hazara Chana amemwagiza Mkuu wa Gereza la Wilaya ya Ludewa kuhakikisha Gereza la Wilaya ya Ludewa linaingia kwenye Shirika la Maendeleo (SHIMA) Kwa lengo la kuwapatia ujuzi mbalimbali wafungwa wote wataoingia katika Gereza la Wilaya ya Ludewa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.