• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

WAZEE WASHEREKEA MAADHIMISHO YA SIKU YAO

tarehe Iliyowekwa: October 1st, 2022

Mkuu wa Wilaya ya Ludewa  asherehekea Siku ya Wazee Duniani na Wazee wa Wilaya ya Ludewa.

Kila tarehe Mosi Oktoba kila mwaka huwa ni Maadhimisho ya siku wa Wazee Duniani ambapo wazee hukumbukwa kwa michango yao mbalimbali hasa kwa kuyatumikia mataifa yao katika Nyanja mbalimbali wakati wa ujana wao.

Wilaya ya Ludewa ni Miongoni mwa Wilaya zilizoshiriki siku hii hapa nchini Tanzania kwa kuwakusanya Wazee kutoka kwenye maeneo mbalimbali ili kusheherekea  siku hii ya Wazee Duniani.

Mkuu wa Wilaya ya Ludewa akiwakilishwa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Ludewa Bwn. Linus Malamba wakati akiongea na wazee wa Wilaya ya Ludewa amewaasa vijana kuiga ubunifu kutoka kwa wazee hao ambao walilitumikia Taifa la Tanzania  kwa moyo mmoja na kuazisha viwanda mbalimbali nchini ili kuinua uchumi wa nchi.

Wazee hawa walianzisha mashamba ya kahawa,chai pia na kuanziasha viwanda vya aina mbalimbali nchini na kuviendesha lakini vijana wa siku hizi hawafanyi kazi bali wanakaa vijiweni na kucheza mchezo wa pool . Nawaasa vijana  mkakae na wazee na muwaulize mbinu walizokuwa wanazitumia katika kufanya kazi mbalimbali na kuendesha familia.

Wazee wameishukuru Serikali kwa kuwakumbuka katika siku hiyo na kuwapa huduma za mara kwa mara. “Kwanza sisi wazee tuliopo hapa  tulikuwa hatujui kama leo ni siku yetu Duniani lakini kwa kuwa Mkuu wa wetu wa Wilaya  ametukumbuka nasi tumefurahi sana tumeona tunavyothaminiwa. Alishukuru Mwenyekiti wa Wazee.

Aidha, Mzee aliongeza kwa kusema kuwa  anaishukuru Serikali kwa kuwapatia  vitambulisho vinavyowatambulisha Pindi wanapohitaji huduma ya matibabu ya kutibiwa  ambapo hapo awali walikuwa wakipata tabu ya kwenda kutibiwa Hospitali kwasababu ya kukosa fedha za matibabu.

Katika Maadhimisho hayo wazee hao wameiomba serikali kuwasaidia na wao Kama wazee kupatiwa mikopo isiyo na riba kwani bado uwezo wa kufanya kazi wanao na wanamatumaini yakuendeleza nchi kwa kushiriki shughuli mbalimbali za kijasiliamari.

Katika hatua nyingine Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa akiwakilishwa na Bwn. Girbet Ngailo amewasihi wazee hao kuwahamasisha vijana kufanya kazi za kuwaingizia kipato na kuacha tabia ya kucheza puru muda wote.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.