• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

WAHESHIMIWA MADIWANI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUDEWA WAMEFANYA ZIARA YA KIKAZI KATIKA MIRADI MBALIMBALI INAYOTEKELEZWA WILAYANI HUMO

tarehe Iliyowekwa: May 11th, 2023

Na Chrispin Kalinga - Ludewa

Waheshimiwa Madiwani pamoja na Watumishi kutoka Halmashauri Wilaya ya Ludewa, jana tarehe 10 Mei, 2023 walifanya ziara ya kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa ndani ya Wilaya ya Ludewa, lengo likiwa ni kuimarisha utendaji kazi na kuhamasisha ukimbizwaji wa utekelezaji wa Miradi hiyo.

Wakiwa kwenye ziara hiyo, Waheshimiwa Madiwani na Wakuu wa Divisheni na Vitengo vya Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa walipata fursa ya kutembelea Jengo jipya lililokamilika pamoja na kutazama vifaa mbalimbali vilivyonunuliwa kwaajili ya wagonjwa mahututi vya jengo la ICU.

 Aidha, ziara hiyo ilianza kwa kikao kilichofanyika katikaUkumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Wilaya wilaya ya Ludewa ambapo kikao hicho kiliongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa, Mhe. Wise Mgina, ambapo walipata nafasi yakujadiliana mambo mbalimbali sambamba na Wajumbe wa Kamati ya Fedha na Uongozi na Mipango pamoja na timu ya Menejimenti Halamashauri ya Wilaya ya Ludewa.

Wakati wa uwasilishaji wa mada mbalimbali kutoka kwa Wataalm wa Halamashauri ya Wilaya ya Ludewa, waliwaeleza waheshimiwa Madiwani kuwa wao kama wataalaam wamejinga kisawasawa kuibua vyanzo mbalimbali vya mapato na kuwa kinara mara kwa mara katika ukusanyaji wa Mapato katika Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa kuelekea Msimu huu mpya wa kiangazi ambapo mvua zimepungua na kuweza kutekeleza miradi mbalimbali ya Maendeleo.

Miongoni mwa miradi iliyotembelewa na waheshimiwa Madiwani ni pamoja na Jengo Jipya la Utawala, Jengo jipya la nyumba ya Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa, Ukaguzi wa Majengo mbalimbali yanayojengwa katika Hospitali ya Wilaya ya Ludewa pamoja na ukaguzi wa jingo jipya linalojengwa katika shule ya Vipaji ya sekondari ya Ludewa Kwanza (Ujenzi wa Hostel).

 

"Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa ina miradi mikubwa kulingana na uwekezaji unaotokana na Mapato kuwa mazuri, pia uwepo wa miradi ya kimkakati Kama Standi ya Mabasi inayoyojengwa katika Kata ya Madope pamoja na Miradi mingine inahitaji kutekelezwa kwa wakati ili kuondokana na mlundikano wa miradi kuwa mingi na kushindwa kuliza kwa wakati, naomba nitumie nafasi hii kuwaelekeza mafundi wote mlioshika majengo yetu mtekeleze kwa wakati kama mikataba ya makubaliano ya utekelezaji tulivyokubaliana” alisema Mhe. Wise Mgana.

 

Ziara hiyo ilifanyika kuelekea Mkutano wa Baraza la Waheshimiwa Madiwani unaotarajia kufanyika tarehe 13 Mei 2023 katika Ukumbi wa Halmashauri kuanzia saa mbili kamili asubuhi, Wananchi wotw mnakaribishwa kushiriki Mkutano huo.

 

 

--

God is the first in the world


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.