• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

Tarafa ya Mwambao Wilayani Ludewa ya Neemeka kwa Miradi ya maendeleo

tarehe Iliyowekwa: August 23rd, 2023

Na Mwandishi wetu

Tarafa ya Mwambao Wilayani Ludewa ya neemeka kwa miradi mbalimbali ya maendleo inayotekelezwa na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Akielezea miradi hiyo Afisa wa Habari na mawasiliano serikalini Wilayani Ludewa Ndg. Chrispin Kalinga amesema serikali inaendelea kutekeleza miradi katika nyanja zote za Elimu, afya, usafiri wa majini ja miundombinu ya barabara.

Amesema katika nyanja ya Elimu kata zote zipatikanazo Tarafa ya mwambao zimepata miradi ya kupitia vyanzo mbalimbali vya fedha ikiwa miongoni ni TASAF na Fedha za Boost ambazo zimewezesha kujenga madarasa kwa baadhi ya kata wengine wakipata miradi ya nyumba za walimu na ofisi yote hii ni kuhakikisha huduma ya elimu inakuwa bora ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa.

Ameongeza kuwa serikali imeongeza idadi ya watumishi katika maeneo mbalimbali ndani ya Tarafa ya Mwambao na Wilaya nzima ya Ludewa ikiwa na adhima ya kuhakikisha wananchi wanapata huduma kwa wakati na za uhakika katika maeneo yao

Akiongelea miundombinu ya barabara Kalinga amesema shughuli za ufunguzi wa barabara ziendazo mwambao zina endelea na lengo ni kuhakikisha Tarafa ya Mwambao inafikika kwa gari kwani awali kulikuwa hakuna barabara za kuwafikisha huko.

Kwa upande wa mawasiliano ya simu amesema Serikali imeendelea kupeleka huduma ya mawasiliano katika maeneo yote ya mwambao na kupelekea kupunguza changamoto waliyo kuwa wakipitia awali ya kusubiri mpaka jua liwake ndio wapate huduma kwani sasa imejengwa minara ambayo inatumia nishati ya mafuta na sio jua tena.

Aidha amempongeza Mbunge wa Jimbo la Ludewa Mhe. Joseph Kamonga kwa kuendelea kuipigania na kuisemea Wilaya ya Ludewa kwani jitihada zake zinaonekana na zinazaa matunda Wilayani humo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.