• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

Serikali imetoa jumla ya bil. 256.8 kwa ajili ya kuboresha bandari ya Tanga kwa awamu ya pili ili kufanya upanuzi wa bandari

tarehe Iliyowekwa: May 10th, 2022

Leo Mei 10, 2022 Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa akiongozana na Maafifa Habari na Uhusiano wa Serikali wametembelea Mradi wa Upanuzi wa Bandari ya Tanga kwa lengo la kujionea maendeleo ya upanuzi huo.

 Serikali imetoa jumla ya bil. 256.8 kwa ajili ya kuboresha bandari ya Tanga kwa awamu ya pili ili kufanya  upanuzi wa bandari  kwa  kujenga gati mbili zenye upana wa mita 150 na urefu wa mita 450  kupunguza adha ya ushushaji wa mizigo baharini na kugharimu mamilioni ya fedha.

Taarifa hiyo imetolewa na Mhandisi wa bandari ya Tanga Mhandisi Hamis Omary Kipelo wakati akizungumza na Mkurugenzi wa Idara ya habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa katika ziara ya maafisa habari,Mawasiliano na Uhusiano  wa Serikali iliyofanyika leo katika bandari hiyo ili kutembelea mradi wa ujenzi wa mageti ya kushushia mizigo yanayojengwa  na kampuni ya China Urban

Mhandisi  Kipalo amesema kuwa maboresho ya  bandari ya Tanga yamefanyika kwa awamu mbili ambapo katika awamu ya kwanza  kazi zilizofanyika ni kuongeza kina kwenye lango la bahari na kuchimba eneo la kuingilia bahari na kugharimu jumla ya shilingi Mil. 172.8 ili kupunguza umbali wa kufuata mizigo baharini kutokana na kukosekana kwa geti za kushushia mizigo katika bandari hiyo.

Amesema kuwa zamani meli ilipowasili  mzigo ulifuatwa kwa umbali wa kilomita 1.7 kutoka bandarini lakini baada ya Serikali kuamua kuongeza kina cha kuingia kwenye lango la  bahari umbali kufuata mizigo umepungua na kufika mita 200 kutoka bandarini na gharama za uendeshaji wa operesheni zimepungua.

Naye Mkurugenzi wa idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu Wa Serikali, Gerson Msigwa amesema kuwa endapo mradi huo ukikamilika utapunguza gharama za kushusha mizigo na wananchi watanufaika kupitia bandari hiyo na kupunguza msongamano wa mizigo katika bandari ya Dar es salaam kwani nchi jirani kama Rwanda,Burundi,Uganda na Kongo zinaweza kutumia bandari ya Tanga.

Bandari ya Dar es salam jumla ya trilioni moja inatumika kupanua njia ya kupita meli kubwa lakini pia bandari mbalimbali ikiwemo bandari ya Kalembo imefikia 98,bandari ya mtwara maboresho yamefanyika na sasa imekamilika na inauwezo wa kuhudumia tani milioni moja kwa mwaka,na serikali inafanya jitihada ya kuunganisha kutoka Mtwara,Mbamba bay na kuhudumia Nchi ya Malawi.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.