• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

PASAKA NA FUKWE NZURI ZA ZIWA NYASA AMKA ASUBUHI MAPEMA TWENDE ZETU MANDA,LUPINGU,MAKONDE NA MATEMA

tarehe Iliyowekwa: April 16th, 2022


Amka asubuhi na mapema jua likichomoza upate kuona jua likichomoza na maadhari ya ajabu ya safu za Milima ya Livingstone inayoishia kwenye Ziwa Nyasa.

Ziwa Nyasa limezunguka Ukanda wa Mbeya Ludewa bila kusahau Ruvuma, huko kote kuna vitu mbalimbali  vinavyo wafanya watu wengi kutamani kuishi na kuendelea kuyafurahia mazingira na safu za Milima iliyo pendezesha Ziwa Nyasa, 

Pamoja na mambo yote huduma muhimu kama vile  Hoteli, na Vyakula havijakosekana na unapo fika kutalii ndani ya Ziwa Nyasa utakula vyakula asili kama vile Ugali wa Muhogo,Samaki wa Ziwa Nyasa, Dagaa nk

Usiku kucha utafurahia kuwapo maeneo yote yaliyo zungukwa na Ziwa Nyasa kama vile Manda, Lupingu, Makonde, Matema bila kusahau Ruvuma na kwenginepo.

Ili asubuhi na mapema uweze kufurahia Jua kutoka Upande wa juu itakulazimu ukeshe huko na ushuhudie Mwangavu mzuri wenye kukufanya ujione upo paradiso nasi Wana Ludewa pamoja na Watanzania wote tunajivunia  Ziwa Nyasa na tunakubali kuwa Wilaya ya Ludewa ni moja ya Wilaya zilizo barikiwa na Mungu kwa upekee wa utajiri uliopo humo.

Mambo ya kufanya ukiwa Ziwa Nyasa,Kutembelea na kujionea Samaki wenye rangi nzuri zenye jina la Samaki wa Mapambo,Kutembelea Milima iliyo pangwa na Mungu kwa mtiririko unao someka kwa ZZZ,lakini pia kushuhudia Mawimbi ya aina yake mazuri yanye kukufanya utamani kuhamia huko na kwa mbaaali unapaswa kusikia sauti za ngoma za asili zilizo changamana na Firimbi huku ukitafuna ytaratibu dagaa Nyasa wenye utamu ulio tukuka.

Majira ya asubuhi Shughuli mbalimbali zinaendelea ikiwemo Uvuvi, Kuogelea, Kustarehe na  Kutembelea Mapango na mito pamoja na mengineyo mengi yaliyopo huko.

Jinsi ya Kufika huko

Unaweza kuendesha gari kutoka Njombe hadi Manda na Kutoka Ludewa hadi Lupingu na huko utapata Meli, Boti na Mitumbwi ya kukufikisha popote unapo hitaji.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.