• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

NUKUU ZA FUNGA WIKI FEBRUARI 12,2023

tarehe Iliyowekwa: February 12th, 2023

Hizi ni nukuu mbalimbali zinazotuvusha juma la pili la mwezi Februari 2023 endelea kutembelea mitandao yetu ya Kijamii kujipatia habari na taarifa mbalimbali kutoka ndani ya Wilaya ya Ludewa.


 "Miti hii tunayoitoa kwa wananchi tunalengo la kuhakikisha kila eneo la Wilaya ya Ludewa lenye sifa ya kupandwa miti linaoteshwa kwa lengo la kutunza mazingira na kumwingizia kipato mwananchi"

##RamadhanSaid

#MhifadhiMisitu (W) Ludewa.


"Kwa mwaka 2022/2023 zaidi ya miche ya miti 30,000 tumezipatia taasisi za serikali na binafsi. Taasisi hizo tayari zimeipanda miti hiyo na zaidi ya miti 20,000 tumevipatia vikundi na miti 10,000 tuwewapatia watu binafsi na yote tayari imepandwa"

#RamadhanSaid

#MhifadhiMisitu (W) Ludewa.


 "Uchomaji  Moto kwa Wilaya ya Ludewa ulikithiri kwa mwaka 2021/2022 kutokana na kuwepo kwa kipindi kirefu cha jua kali. Ila kwa mwaka 2022/2023 uchomaji Moto ulipungua ukilinganisha na miaka ya nyuma. Jitihada zetu kama TFS kwa kushirikiana na wataalamu wa Halmashauri tunaendelea kutoa elimu juu ya  za uchomaji moto ovyo. Sambamba na hilo, tumeamua kugawa miche mingi ya miti ili wananchi wapande kwenye maeneo yao ili kupunguza kasi uchomaji wa moto bila kuwa na tahadhari. Kwa kugawa miche hii ya miti, kila mmoja atakuwa mlinzi wa mwenzake ili kuinusuru miti yake"

#RamadhanSaid

#MhifadhiMisitu (W) Ludewa.


"Mahitaji ya watu wanaohitaji kupanda miti kwa Wilaya ya Ludewa yameongezeka. Sisi Kama TFS kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii kwa Wilaya ya Ludewa tumejipanga kwa mwaka 2023/2024 kuzalisha miti mingi zaidi ukilinganisha na wakati huu ili kuongeza kasi ya upandaji miti na utunzaji wa mazingira kwa ujumla ikiwemo kuvinusuru na kuviimarisha vyanzo vya maji"

#RamadhanSaid

#MhifadhiMisitu (W) Ludewa.


 "Tumepewa gari kwa ajili ya kutuwezesha kutoa elimu ya Uhifadhi pamoja na utunzaji wa mazingira kwa ujumla ikiwemo upandaji miti. Pia, gari hili litatusaidia kufika maeneo mengi zaidi na kwa haraka ili kuhakikisha rasilimali misitu na nyuki zinatunzwa kwa manufaa ya kizazi hiki na vizazi vijavyo".

#RamadhanSaid

#MhifadhiMisitu (W) Ludewa

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.