• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

Ngano yaja kivingine

tarehe Iliyowekwa: September 16th, 2022

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Antony Mtaka amesema Wilaya ya Makete itakuwa ya mfano katika mkoa kwa uzalishaji wa zao la ngano.

Akizungumza leo 16 Septemba 2022 kwenye Mkutano wa wadau wa zao la ngano uliofanyika ukumbi wa Madihani Villa Makete Mjini, Mhe. Mtaka amesema kutokana na uhitaji mkubwa wa zao hilo nchini Wilaya ya Makete inatarajia kuzalisha kwa wingi katika maeneo mengi wilayani hapa.

Pia Mhe. Mtaka amempongeza Mkuu wa Wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda, Mkurugenzi Mtendaji Wilaya William Makufwe na watumishi kwa uthubutu katika kuwaza namna ya kuwa na zao la kimkakati katika uzalishaji wa Ngano Wilayani Makete.

“Nawapongeza sana Viongozi wa Halmashauri kwa kufikiri nje ya boksi katika kuona njia rahisi ya kuwakwamua wananchi kiuchumi mnamsaidia Mhe. Rais vizuri katika kutekeleza majukumu ya kimsingi kwa wananchi”.

“Wilaya ya Makete hakuna mtu masikini zaidi niwasisitize watu walime ngano kwa wingi tuachane na suala la kuzungumzia umasikini Makete kwa kuwa ardhi iliyopo inautajiri wakutosha na karibu mazao mengi yanastawi vizuri hasa ngano”

Pia Mkuu huyo wa Mkoa ameagiza kuitishwa mkutano wa wenyeviti wa Vijiji kutoka vijiji vyote vinavyozalisha ngano mwishoni mwa mwezi huu ili kukubaliana namna ya kuanza uzalishaji wa ngano mapema mwakani katika maeneo yote yanayopaswa kulima ngano.

Wakati huohuo amewaagiza maafisa Kilimo kuainisha majina ya wakulima, kiasi cha mashamba na idadi ya mashamba wanayotaka kulima ngano ili kurahisisha ongezeko la uhamasishaji wa kilimo cha zao hilo.

Mkutano huo umehudhuriwa na Mkurugenzi wa Bodi ya mazao mchanganyiko Dkt. Anselm Moshi, wakurugenzi kutoka Halmashauri za Mkoa wa Njombe, waheshimiwa wenyeviti wa Halmashauri, Wakuu wa Wilaya, waheshimiwa Madiwani Wilaya ya Makete, Taasisi ya kifedha, Maafisa Kilimo, wadau wa Kilimo na wakulima kutoka vijiji zaidi ya 90 vya Wilaya ya Makete

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.