• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI WA LUGARAWA

tarehe Iliyowekwa: February 16th, 2023

Jana Februari 15, 2023 Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Mheshimiwa Wise Mgina aliambatana na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Ndg. Castori Kibasa pamoja na Kaimu Katibu Tawala wa Wilaya ya Ludewa Ndg. Daniel Ngalupela kutembelea shule ya sekondari ya Lugarawa kwaajili ya kukagua na kupokea taarifa ya uunguaji wa bweni la wavulana katika shule ya sekondari Lugarawa.

Bweni la wavulana katika shule hiyo limeteketea kwa moto uliounguza zana mbalimbali za  wanafunzi pamoja kuleta uharibifu wa bweni hilo.

Tukio hilo lilitokea usiku wa Februari 14, 2023 wakati wanafunzi wa bweni hilo wakiendelea na masomo ya usiku darasani.

Bweni limeungua na moto uliosababishwa na shoti ya umeme na kusababisha hasara ya kiasi cha shilingi milioni 18.

Kauli hiyo imetolewa na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa kwa kusema kuwa, "Wanafunzi wanaoishi katika bweni hilo ni takribani 80 wa kidato cha kwanza hadi cha nne kwa tathimini ya haraka haraka ni karibu milioni 18 hivi za hasara zimeweza kutokea kwa maana ya kuwa kuna uharibifu wa miundombinu ya bweni hili kwa maana bati,mbao,vifaa pamoja na mavazi ya wanafunzi hawa,magodoro,mablangeti na mashuka" asema Kibasa.

Aidha aliongeza kwa kusema, hakuna mwanafunzi yeyote aliyepata madhara na badala yake wanaendelea na masomo kama kawaida huku serikali ikiangalia namna ya kulirejesha bweni hilo.

"Wanafunzi 57 vitu vyao vyote vimeteketea wamebaki na mavazi waliyovaa wakati huo wakiwa prepo. Kama Halmashauri tunahakikisha wanafunzi wanakuwa salama katika eneo la shule" alisema Kibasa.

Kwa upande wake Diwani wa kata ya Lugarawa Erasto Mhagama alisema kuwa mara baada ya kupata taarifa kutoka kwa wananchi kwamba bweni linaungua, alifika  na kushirikiana na wananchi kuuzina moto huo hadi walipofanikiwa kuuzima.

"Vitu vyote vimeungua moto, vitanda, magodoro, matraka na jitihada tulizochukua ni kuwashirikisha viongozi wa wilaya ili kutatua tatizo hili.Tukio hili ni la kwanza kutokea na kuleta uharibifu mkubwa" alisema Diwani  Mhagama.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.