• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

MWENYEKITI WA CCM LUDEWA AMSHUKURU MHE.RAIS SAMIA SULUHU HASSAN

tarehe Iliyowekwa: March 19th, 2022

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ludewa Ndg. Stanley Kolimba Jana Machi 18, 2022 alizungumza na wananchi walio jitokeza katika hafla ya Miaka 10 ya shirika la PADECO walio jitokeza katika Kata ya Mundindi  shule ya msingi ya watu wenye mahitaji maalum.

Ndg.Stanlye Kolimba alisema kuwa katika kipindi cha Mwaka mmoja wa uongozi wa Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa amefanya mambo mengi ikiwemo Miradi ya Maendeleo ya Afya,Miradi ya Ujenzi wa Vyumba vya Madarasa na Miundombinu ya Barabara. Sambamba na hayo Mwenyekiti huyo aliongeza kwa kusema kuwa, tunakila sababu ya kumshukuru Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa maendeleo anayo yaleta nchi kwetu haswa kwenye miradi inayo ishi, ikumbukwe kwamba Mwaka huu 2022 Mhe.Rais ametupati Fedha nyingi ya Ujenzi wa Chuo cha Ufundi VETA pale Shaurimoyo ambapo ujenzi wake tayali umeanza na utarajiwa kukamilika mwishoni mwa mwaka huu.

Katika hatua nyingine Kolimba alisema Shirika la Padeco ni moja ya mashirika yanayo hitaji kuigwa haswa kwa kurudisha fadhira ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa na akatumia nafasi hiyo Kumpongeza Mkurugenzi wa shirika hilo Bw. Wilbaard Mwinuka kwa kuendelea kuijenga Wilaya ya Ludewa kwa miradi ya kimaendeleo.

Nakupongeza kijana wetu kwa kuona umuhimu wa kuja kusaidia wototo hawa na kuwapa zawadi Bweni hili pamoja na vitanda,Magodoro 50 bado ukajenga na vyoo vitano na ukaongeza Usafiri wa pikipiki wa kuwahudimia pindi wanapo pata shida Hongera sana kijana,Sisi kama chama cha mapinduzi Wilaya ya Ludewa tunautambua Mchango wako kwa Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa,endelea hivyo hivyo na moyo wa upendo.

Wilaya yetu inafunguka kwa mambo mengi endelea kukaribisha wageni kutoka maeneo yote waje wawekeze kwenye Halmashauri yetu uchumi Utaongezeka.


Kwa upande wake Kaimu Katibu wa wazazi CCM Wilaya ya Ludewa Ndg. Salum Mohamed Mfaume alisema kuwa uwepo wa bweni hilo ambalo Shirika la PADECO limeiwezesha shule hiyo itawafanya watoto wanao soma hapo kuishi vizuri na furaha wakiyafurahia mazingira hayo, aliendelea kusema kusema kuwa watoto ni Taifa la kesho hivyo kila mtoto aliye zaliwa anahaki ya kupata elimu kwa kauli mbiu isemayo, Mtoto umleavyo ndivyo akuavyo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.