• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

Mwalimu wa Ludewa Sekondari atoa la moyoni

tarehe Iliyowekwa: November 26th, 2022

Wananchi wote wa Halmashauri ya Wilaya Ludewa leo Novemba 26, 2022 wameshiriki katika zoezi la kufanya usafi wa mazingira kutoka kwenye  maeneo yao yanayowazunguka.


Zoezi hilo limefanyika kuanzia saa moja kamili asubuhi hadi saa nne kamili asubuhi ikiwa ni sehemu ya utaratibu wa kila mmoja kushiriki kufanya usafi kila jumamosi ya kila mwisho wa mwezi.


Afisa Usafi na Udhibiti Taka wa Wilaya ya Ludewa Bw. Kibasa amesema kuwa, mbali ya kwamba kufanya usafi kunafanya mazingira yapendeze na pia kuondao magonjwa yanayosababishwa na kuzungukwa na mazingira machafu, lakini pia zoezi la kufanya usafi kwa pamoja linajenga umoja na mshikamono na kuondoa matabaka katika Jamii yetu.


Kibasa amewasihi wananchi kufanya usafi wa mazingira na kuyapenda mazingira yao siku zote na kujitokeza kufanya usafi kila inapofika jumamosi ya mwisho wa mwezi bila kutegemea, wala kujali uwezo wa mtu, hadhi ya Mtu, cheo au nafasi ya mtu katika jamii.


Mtaa wa Mkondachi Wilayani hapo ni mtaa uliowahamasisha wananchi wao kufanya usafi si wakubwa wala watoto wote wameshiriki kuyaweka mazingira kuwa safi na mtaa wa Kilima hewa kuzifanya barabara na sehemu za biashara kuwa safi muda wote.


Mwalimu wa shule ya sekondari ya Ludewa Sekondari Bi. Clara Mbwaga amesema ufanyaji usafi wa kila mwisho wa mwezi kwenye mtaa wa Mkondachi ni sehemu ya utekelezaji wa maagizo ya viongozi na pia ni wajibu wao kama mtaa kuufanya mtaa huo kuwa safi muda wote kwani kwa kufanya hivyo kunaufanya mtaa huo wote na viunga vyake kuwa safi.


"Binafsi mtaa wetu wa Mkondachi ni mtaa unaojitahidi kuwa safi muda wote kwasababu eneo hili kila mwananchi anatambua umuhimu wa usafi, mfano ninapo ishi mimi kila mmoja anatambua umuhimu wa usafi na si kusubiri mwisho wa mwezi, tumepana elimu ya usafi wa mazingira na wote tumeonesha kujitambua na kuyadhamini mazingira tunayoyaishi, amesema Mwalimu Clara


Kwa upande wake Mtumishi mmjoawa Afya kutoka katika hospitalia ya Wilaya ya Ludewa anayeishi mtaa wa Mkondachi Bi. Joyce amejumuika na familia  yote inayoishi katika nyumba ya moja ya kunga wamejihamasisha kufanya usafi wa mazingira na kuchoma takataka kavu na karatasi ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kukipokea kifuku (msimu wa mvua

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.