• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

MKURUGENZI MTENDAJI LUDEWA AWAKARIBISHA WAWEKEZAJI

tarehe Iliyowekwa: November 11th, 2022

Novemba 09,2022 Waziri wa Maliasili na Utalii  Balozi Dkt. Mhe. Pindi Chana alifungua rasmi maonesho ya vivutio vya Utalii nyanda za juu Kusini yanayotambulika kwa Utalii Karibu Kusini katika viwanja vya maonesho Mkoani Iringa.


Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa imeshiriki Uzinduzi wa Maonyesho hayo yanayofanyika kwa siku tano kuanzia tarehe 09/11/2022 hadi tarehe 13/11/2022.


Wakati akifungua maonesho hayo  Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Dk. Pindi Chana alieleza kuwa uwepo wa vivutio vizuri na vya kipekee vya Utalii katika mikoa ya Kusini mwa Tanzania ambayo ni Iringa, Mbeya, Njombe, Ruvuma, Mtwara,Lindi, Morogoro, Songwe, Rukwa na Katavi ni fursa kwa wananchi wa mikoa hiyo kuendelea kunufaika kiuchumi kutokana na shughuli za utalii zinazofanyika.


Aidha, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Ndugu  Sunday Deogratias ambaye ameambatana na Wataalamu mbalimbali kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa wakiwa wamebeba vitu mbalimbali kwaajili ya maonesho katika viwanja hivyo wakati akifanya mahojiano na vyombo vya habari hapo jana alisema kuwa, Ushiriki wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa kwenye maonyesho hayo ni kutoa elimu lakini pia kubaini changamoto mbalimbali hususani katika  sekta  ya Utalii ili kuzifanyia kazi na kuhakikisha watalii na jamii nzima inayozunguka inatembelea vivutio vya utalii ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa.


Aidha akaongeza kwakusema kuwa uwepo wa wataalamu kwenye maonesho hayo kutaleta tija kwa Halmashauri kwani wanapata fursa ya kuwatangazia Watanzania na kuwakaribisha wawekezaji kuwekeza kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa haswa katika sekta ya Utalii ikiwa ni pamoja na Ziwa Nyasa lakini pia kunawapa fursa Watanzania kutembelea Wilaya ya Ludewa ili kufanya Uwekezaji katika sekta ya Kilimo na Uwekezaji katika sekta ya Madini.


Sambamba na hayo Mkurugenzi huyo akatumia nafasi hiyo kuwaeleza Watanzania kuwa Wilaya ya Ludewa inauhakika wa maeneo ya uwekezaji na serikali ipo tayari kuwapa ushirikiano Wawekezaji wote watakao kuja kuwekeza ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa haswa kwenye Uwekezaji wa Kilimo, Uwekezaji wa Uvuvi na Mifugo, Uwekezaji wa Kilimo cha Mita na Uwekezaji katika sekta ya Madini.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.