• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

MIRADI YA MAJI WILAYA YA LUDEWA INAENDELEA KWA KASI

tarehe Iliyowekwa: March 23rd, 2022

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, alieleza kufurahishwa na kukamilika kwa mradi wa maji nchini

Amesema hayo jana Machi 22, 2022 katika maadhimisho ya  siku ya Maji Duniani .

Na kwaupende wetu Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa ujenzi wa Miundombinu ya maji inaendelea ikiwa ni pamoja na kupatiwa fedha za kukamilisha miradi hiyo, na  kwa mwaka 2021 miradi iliyo tekelezwa kwa ukarabati na upanuzi ni, Ujenzi na Ukarabati wa mradi wa maji Kimelembe-Mkomang'ombe ambapo mradi huo umekamilika kwa thamani ya sh.782,846,976.00 na Ujenzi wa mradi wa maji Iwela ukiwa umekamilika kwa thamani ya sh.1,440,000,000.00

Pamoja na hiyo miridi iliyo kamilika ni pamoja na mradi wa maji Mbugani,Ukarabati wa Tank la maji Ludewa Mjini HIMA,Ukarabati wa Mfumo wa maji Mlangali na wakati huo Mradi wa Ujenzi wa mradi wa maji Lupingu ukiwa upo hatua za mwisho kwenye utekelezaji,na ujumla wake kwa miradi tajwa hapo juu itakuwa imegharimu sh.2,919,599,872.00

Na kwa mwaka  2022 Halmashauri  ya Wilaya ya Ludewa imepokea fedha ya utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maji kiasi cha sh.2,108,673,191

Ambapo miradi inayo fikiwa nipamoja na Ujenzi na uboreshaji wa mfumo wa Maji Ludewa Mjini,Ujenzi wa mradi wa madope,Ujenzi wa mradi wa maji Madindo,Ujenzi wa mradi wa maji Ibumi,Ujenzi wa mradi wa maji Lifua na Ujenzi wa mradi wa maji Ihela.

Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa tunamshukuru Mhe.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kutupatia fedha ya kutekeleza miradi mikubwa ya maji.

Endelea kutembelea Mitandao yetu ya kijamii kwa habari za Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.