• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

MHE.WISE MGINA ATOA NENO LA NEEMA SHULE YA WATU WENYE MAHITAJI MAALUM

tarehe Iliyowekwa: March 18th, 2022

Mhe.Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Wise Mgina ambaye pia ndiye Diwani Kata ya Mundindi Leo Machi 18, 2022 Wakati wa kukabidhiwa bweni pamoja na Pikipiki Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa amelipongeza Shirika la Padeco kwa mchango wao mkubwa haswa katika kufanikisha ujenzi wa bweni hilo utakao saidia watoto wanao soma katika shule hiyo ya msingi ya watu wenye mahitaji maalum

Lakini pia akaongeza kwa kusema kuwa Shule hii ya watoto wenye ulemavu kwa Wilaya yetu ya Ludewa inapokea watoto kutoka maeneo tofauti nikiwa na maana ya ndani ya halmashauri ya Wilaya yetu na Mkoa mzima wa Njombe na pia saivi shule hii inapokea watoto kutoka nje ya Mkoa wa Njmbe,hivyo PADECO mchango wenu huu ni mkubwa tunawaomba msichoke kuja kuleta msaada na mahitaji mengine kadri mnavyo jaliwa.

Aidha ameongeza kwa kusema kuwa licha ya Shirika la Padeco kujenga bwini hili na serikali yetu pia imejenga jengo lingine kubwa ambalo lipo hatua za mwisho,hivyo nikiwa kama Mwenyekiti wa Halmashauri kwa umuhimu wa Shule hii,serikali inakila sababu ya kuona umuhimu wa kuongeza walimu katika shule hii ili waweze kutosheleza kuwahudumia watoto hawa,sambamba na hayo nitaenda kuishawishi serikali ione umuhimu wa kujenga na sekondari hapa,maana eneo bado lipo kubwa,na linauwezo wa kutosheleza kujenga shule ya sekondari ya watu wenye mahitaji maalumu,hii itasaidia mwenendo mzuri kwa wanafunzi wanao faulu kujinga na kidato cha kwanza,na sio hivyo tu bali nitaishawishi serikali kujenga chuo cha ufundi cha watu wenye mahitaji maalum ili waweze kujifunza mambo mbalimbali.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.