• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

MHE.MTAKA ASEMA NENO ZITO NJOMBE

tarehe Iliyowekwa: August 7th, 2022

Mkuu wa mkoa wa Njombe Mhe. Antony Mtaka alizitaka halmashauri mbalimbali za mkoa huo, kukuza uchumi wao kwa kutumia rasilimali zilizopo katika halmashauri husika.

Mtaka aliyasema hayo baada ya makabidhiano ya ofisi na aliyekuwa mkuu wa mkoa huo Waziri Waziri Kindamba ambaye anaenda kuwa mkuu wa mkoa wa Songwe ambao ulihusisha viobgozi mbalimbali ngazi ya wilaya na mikoa zikiwemo taasisi binafsi.

Mtaka alisema viongozi pamoja na wananchi wanapaswa kuwa wabunifu katika kuanzisha vyanzo vya mapato kulingana na ardhi pamoja na hali ya hewa iliyopo kwakuwa ina uwezo wa kuhimili mimea pamoja na mifugo.

” Halmashauri zilizo nyingi zimeishia kuwa na mradi wa choo, Halmashauri zinapaswa kujisimamia katika miradi ya maendeleo kutoka katika mapato ya ndani na ili kuweza kuwa na mapato ya kutosha hakikisheni mnatambua fursazilizopo katika halmashauri zenu na mhamasishe watu wawekeze katika fursa hizo”. Alisema Mtaka.

Aliongeza kuwa hali ya hewa ya Njombe na ardhi ni mtaji tosha wa kuwafanya wananjombe wanakuwa kiuchumi hivyo hawezi kukubali kuona wananchi wa mkoa huo wanaishi kinyonge na kuendelea kutengeneza wazee watakaokuwa wanudaika wa TASAF katika siku za usoni.

Aidha katika makabidhiano hayo ya ofisi aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Njombe Waziri Waziri Kindamba  alimuomba Kindamba kuendeleza mipango ya naendeleo pale alipoishia ili kuiletea maendeleo Njombe hasa katika ujenzi wa kiwanja cha ndege na kufuatilia wawekezaji waliojitokeza katika sekta ya kilimo cha mazao mbalimbali ikiwemo parachichi, Soya pamoja na ngano.


Kindamba alisema kuwa Njombe kuna uwanja wa ndege ambao hutumika isivyo sahihi ambapo wananchi hutumia kwa kukatiza kama njia huku katika sekta ya kilimo tayari kuna wawekezaji ambao wamekuja kuona maeneo na kuahidi kurudi kuwekeza.

“Ukiangalia uwanja wetu wa ndege unatumika kama njia ya watembea kwa miguu, bajaji, pikipiki na wengine hutumia kuanika nguo kitu ambacho kilinifanya niweke uzio na kuweka ulinzi watu wasiendelee na natumizi hayo na kwa atakayebainika anapigwa faini”, Alisema Kindamba


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.