• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

MBUNGE WA JIMBO LA LUDEWA JOSEPH KAMONGA ANAENDELEA NA ZIARA YAKIKAZI KILA KONA ZA WILAYA YA LUDEWA

tarehe Iliyowekwa: August 18th, 2022

Jana Agasti 17, 2022 Mbunge wa Jimbo la Ludewa Mhe. Joseph Kamonga alifanya mikutano miwili ndani ya kata ya Ludewa mjini, Mkutano wa kwanza ulifanyika Mdonga na wa pili ulifanyika sokoni Ludewa mjini

Wananchi wa kata ya Ludewa mjini walimshukuru Mheshimiwa Mbunge kwa jitihada anazoendelea kuzionesha za kutuletea Maendeleo wana Ludewa.


Ziara ya Mbunge ilijikita kwenye ajenda kuu tatu, ya kwanza kuhamasisha shughuri za Maendeleo, kutoa mrejesho wa nini kimefanyika katika vikao vya Bunge, kuhamasisha sensa ya watu na Makazi yaa mwaka 2022.


1.Katika kuhamasisha shughuli za Maendeleo, Mheshimiwa Mbunge alitoa mchango wa Milioni mbili kwaajili ya kuandaa tofali za Ujenzi wa shule.


Milioni 1 uandaaji wa tofali za Ujenzi wa shule ya Msingi Mdonga na milioni 1 kwaajili ya kuandalia tofali za Ujenzi wa shule ya sekondari Ludewa kijijini.


Mheshimiwa Mbunge aliwaomba wananchi kushiriki kikakamilifu katika jambo hili kwani maeneo yote mawili watoto wanasafiri umbali mrefu kwenda kufuata elimu.


2. Mhe. Mbunge alitoa taarifa ya hali ya miradi inayoendelea kutekelezwa na inayo tarajia kuanza kutekelezwa kwa mwaka wa fedha 2022/2023


3. Mhe. Mbunge alitowa elimu ya sensa kwa wakazi wa Ludewa na kueleza umuhimu wake katika utoaji wa huduma za kijamii,Hivyo Mhe. Mbunge aliwaomba Wanaludewa kujiandaa kikamilifu kuhesabiwa na kutoa ushirikiano wa kutosha kwa maafisa wa sensa watakao pita kwenye kaya zao siku ya zoezi hilo.


Sambamba na hayo  Mhe. Mbunge alitoa mrejesho wa nini amefanya alipokuwa Bungeni na matokea yake yapoje mpaka Sasa

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.