• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

MBUNGE LUDEWA AENDELEA NA ZIARA

tarehe Iliyowekwa: August 16th, 2022

Jana tarehe 15/08/2022 Mbunge wa Jimbo la Ludewa Mhe. Joseph Kamonga alihutubia mikutano miwili kata ya Mavanga Kijiji cha Mavanga na Kijiji cha Mbugani.


Wanakijiji cha Mavanga walitoa shukrani zao za dhati kwa Mheshimiwa Mbunge kwa michango yake ambayo amekuwa akiitoa siku hadi siku na kwa jitihada anazazoendelea kuzionyesha za kupigania maendeleo ya Wanaludewa.


Mhe. Mbunge amechangia Tsh.400,000/= kwaajili ya kutengeneza vitanda kwaajili ya Shule ya sekondari Mavanga. Ikumbukwe awamau ya kwanza Mhe. Mbunge aliweza kuchangia Milioni 1 kwaajili ya vitanda ambavyo vimesha anza kutumika.


Mhe. Mbunge alitoa Milioni moja kwaajili ya kuandalia tofali zitakazo tumika katika ujenzi wa zahanati Kijiji cha Mbugani.


Mhe. Mbunge alimpigia simu Naibu waziri wa maji Mhe.Marryprisca Mahundin aweze kusikiliza kelo ya maji kwa wananchi wa kijiji cha Mbugani ambao hawajakabidhiwa mradi wao. Naibu waziri ameahidi kufanyia kazi Kumalizia mradi huo na kuukabidhi kwa wananchi.


Mhe. Mbunge alikabidhi mipira mitatu kwa vijana kwa matawi matatu ya kata ya Mavanga ambao walimuomba wakati wa mkutano.


Aidha Mheshimiwa Mbunge aliwahamasisha wananchi kujitokeza kwa Wingi kujiandikisha kwenye kitabu cha Mbolea za ruzuku ili waweze kupata kwa bei ya punguzo.


Pia Mhe. Mbunge aliwahamasisha wananchi wote wa kata ya Mavanga kujiandaa kikamilifu kwaajili ya sensa na kutoa ushirikiano kwa maafisa wa sensa watakao pita kwenye kaya zao kukusanya madodoso.


Lakini pia Mhe. Mbunge aliwaasa wananchi wa Mavanga kutouza chakula chote walicho kipata mwaka huu kwakuwa bei ya mazao ni nzuri kawataka wahifadhi ndani chakula cha kuitosha familia zao ndipo kitakacho baki wakiuuze.


Baada ya kumaliza ziara kata ya Mavanga Mhe. Mbunge alipita kukagua ujenzi wa chuo cha ufundi stadi Shaurimoyo (VETA).


Ameridhishwa na Mwenendo wa ujenzi unavyo endelea na kutegemee kuanza kutoa Mafunzo ya mda mfupi siku za hivi karibuni.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.