• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

MADHIMISHO YA WIKI YA CHANJO KIWILAYA YAFANYIKA KATA YA LUDEWA

tarehe Iliyowekwa: May 9th, 2023

Na  Chrispin Kalinga

Wizara ya Afya inaendelea kuikinga jamii ya Watanzania dhidi ya magonjwa yanayozuilika kwa Chanjo ambayo ni Kifua kikuu, Donda Koo, Kifaduro, Polio, Surua, Rubella, Pepo punda, Homa ya ini, Homa ya uti wa mgongo, Kichomi, Kuhara na Saratani ya shingo ya kizazi.


Hayo yote aliyaeleza Mratibu wa Chanjo wa Wilaya ya Ludewa Bw. James Kadege wakati wa Maadhimisho ya Wiki ya chanjo yaliyofanyika katika kata ya Ludewa tarehe 6 Mei 2023, ikumbukwe kwamba wiki ya chanjo inaongozwa na kauli mbiu isemayo “ Tuwakinge wote Kwa  Chanjo ”  ikienda sambamba na ujumbe usemao “Jamii Iliyopata Chanjo, Ni Jamii Yenye Afya”.


“Wizara ya Afya iliweka huduma ya Chanjo kuwa kipaumbele cha kwanza kati ya vipaumbele vyake kumi kwa mwaka 2022/2023. Katika kufikia malengo ya kipaumbele hiki, Wizara imekuwa ikitekeleza mikakati mbalimbali ikiwa ni pamoja huduma tembezi za mkoba ili kuhakikisha walengwa wote wanapata Chanjo”.alieleza Bw. Kadege


Maadhimisho ya Wiki ya Chanjo Kiwilaya yalifanyika katika viwanja vya Zahanati ya kijiji cha Ludewa kijijini na Mgeni rasmi katika maadhimisho hayo alikuwa ni Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Mhe. Victoria Mwanziva akiwakilishwa na Bw. Linus Malamba, katika hotuba yake aliwahimiza Wazazi na walezi kutumia wiki ya chanjo kuwapeleka watoto wote ambao hawajapata chanjo na ambao hawajamaliza ratiba ya chanjo kwenye Vituo vya Kutoa Huduma za Afya ili waweze kupatiwa chanjo bila gharama  yoyote.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI YA MWENYEKITI WA BODI YA AJIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUDEWA December 17, 2025
  • TANGAZO LA NAFASI YA KAZI HALMASHAURI YA WILAYA YA LUDEWA December 31, 2025
  • TANGAZO LA MKUTANO WA WAFANYABIASHARA WOTE UTAKAO FANYIKA TAREHE 6 JUNI 2024 May 29, 2024
  • TANGAZO LA UPANGISHAJI MADUKA YALIOYOPO UWANJA WA MPIRA, STENDI NA SOKONI KUPITIA TAUSI PORTAL May 29, 2024
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA LUDEWA AWAASA WATUMISHI WAPYA KUTUMIA FURSA ZILIZOPO KUJIJENGA KIUCHUMI

    September 02, 2025
  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Watumishi Portal - ESS
  • NeST

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.

  • HUSKYSLOT
  • ROBOSLOT
  • TAHUPLAY
  • AWPSLOT
  • DANATOTO
  • Situs Toto
  • situs toto