• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

MAAFISA HABARI WOTE NCHINI TANZANIA WANAENDELEA NA KIKAO KAZI CHA 17, 2022 JIJI TANGA

tarehe Iliyowekwa: May 10th, 2022

Wakati kikao kazi cha 17 cha Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano wa Serikali kikiendelea Jijini Tanga pamoja na Mambo mengine yanayo jadiliwa kwenye kikao hicho, Maafisa Habari kote nchini wamepata fursa ya kujifunza namna bora ya kutangaza Miradi na vipaumbele vya Serikali, wakati huo Mkurugenzi wa Idara ya Habari na Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa ametoa wazo la kuanzisha Chaneli ya Runinga ya Maelezo TV kwaajili ya mambo yafuatayo,

1.Uwepo wa chaneli hiyo itarahisisha urushaji wa maudhui (vipindi/matukio/habari) ya Serikali pekee yanayozalishwa kila siku na Maafisa Habari zaidi ya 350 kutoka Wizara, Idara, Taasisi, Mikoa na Wilaya nchi nzima ambayo kwa sasa yanakosa nafasi ya kutosha katika vyombo vya habari.2. 

Chaneli hiyo ya Televisheni sio Kituo cha Televisheni, bali Chaneli hii itasaidia kukabiliana na changamoto ya ukosefu wa bajeti kwa ajili ya kulipia muda wa hewani (Airtime) hali inayosababisha wananchi kukosa taarifa muhimu.3. 

Uendeshaji wa chaneli hii utafanywa na Wataalamu waliopo Idara ya Habari (MAELEZO) na hivyo hatutaajiri Watumishi kwa ajili ya Chaneli labda ikiamliwa vinginevyo.

4. Chaneli hii itatatua changamoto ya vituo vya Luninga kulazimika kufuta vipindi vyake pale kunapokuwa na matukio ya kiserikali yanayochukua muda mrefu. Mfano tukio la Serikali linaloanza saa nne asubuhi hadi saa kumi jioni likirushwa litasababisha Vipindi vingi vya televisheni husika kukosa muda. Hali ambayo husababisha kukatwakatwa kwa matangazo ama vyombo vya habari kupoteza mapato 

5. Na nyingine nyingi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.