• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

KATA YA MUNDINDI TUNAPIGA MAGOTI KUMSHUKURU RAIS WETU SAMIA SULUHU HASSAN KWAKUTUPATIA FEDHA ZA KUTEKELEZA MIRADI.

tarehe Iliyowekwa: September 14th, 2023

Na. Chrispin Kalinga

Mtendaji wa Kata ya Mundindi Bw. Erick Kabuka ametuma salamu za shukrani kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. @samia_suluhu_hassan kwa kuendelea kuipatia kata ya Mundindi fedha za kutekeleza miradi mbalimbali ya kimaendeleo ikiwa ni pamoja na miradi ya ujenzi wa miundombinu ya Elimu, Afya, Maji na Ulipaji wa fidia kwa  wananchi wa kata hiyo kwa kupisha mradi wa madini ya chuma Liganga.

Aliyasema hayo Septemba 12, 2023 alipotembelewa na Afisa Habari na Mawasiliano serikalini  alipokuwa kwenye ziara yake ya kikazi  akitembelea miradi mbalimbali inayotekelezwa kwenye Tarafa ya Liganga.

Bwana Kabuka amesema, "Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ameipatia fedha kata ya Mundindi haswa Kijiji cha Njelela ambapo hapo pana mradi wa madarasa mawili ya shule ya Msingi yaliyo gharimu takribani Milioni 67  sambamba na ukarabati wa miundombinu ya Maji, ujenzi wa kituo cha Afya cha Mundindi kilichogharimu zaidi ya Milioni 500 pamoja na ununuaji wa dawa, Kijiji cha Amani kimepokea fedha kiasi cha shilingi Milioni 773 kwaajili ya ujenzi wa madarasa 9 na mabweni 4  ya shule ya sekondari Mundindi na hivi karibuni Mhe. Rais ameiongezea fedha kata ya Mundindi kwaajili ya  ujenzi wa Hosteli moja yenye thamani ya shilingi Milioni 130 na ujenzi wake upo hatua za mwisho".

Aidha, "Kata ya Mundindi tunakila sababu ya kumshukuru Rais wetu Samia kwa fedha nyingi zilizoletwa kwenye kata hii na sisi watumishi tunamuahidi hatuta muangusha kwenye usimamiaji wa miradi hii, na pia nawashukuru Kamati ya Siasa ya chama Cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Ludewa kwakuendelea kuwa karibu na miradi hii kwakushirikiana na viongozi wetu akiwemo Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Mhe. Victoria Mwanziva na Mkurugenzi wetu Sunday Deogratias". Alisema Mtendaji wa Kata ya Mundindi.

Mtendaji huyo akamaliza kwa kumpongeza Mbunge wa Jimbo la Ludewa Mhe. @josephzachariuskamonga kwa jitihada zake hadi miradi hiyo inaletewa kwenye kata ya Mundindi akishirikiana na Diwani wa kata hiyo Mhe. Wise Mgina.

#KaziIendee na hakika #inaendelea

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.