• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

KAMATI YA SIASA MKAOA WA NJOMBE YAKETI MEZA MOJA NA WAKUU WA TAASISI MKOANI NJOMBE.

tarehe Iliyowekwa: October 11th, 2023

Na. Chrispin Kalinga - Ludewa

Kamati ya Siasa Mkoa wa Njombe, ikiongozwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Njombe (MB), Mhe. Deo Sanga, imefanya majumuisho ya ziara ya kamati hiyo, ambayo ilifanyika katika Halmashauri 6 za Mkoa wa Njombe ili kutembelea na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya mwaka wa 2020/2025.

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Njombe Ndugu Deo Sanga amesema kuwa, "Tumegundua kuwepo kwa changamoto nyingi sana katika sekta ya Elimu hususani ujenzi wa maboma viporo ya Madarasa, ikiwa ni pamoja na sekta ya Afya, ambapo vituo vya Afya na Zahanati hazijakamilika, hivyo Serikali kupitia Halmashauri zote zikamilishe kwa haraka maboma hayo ili wananchi waweze kuhudumiwa kiufasaha".

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Anthony Mtaka amewataka wale wote wanaotakiwa kutimiza wajibu wao Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Antony Mtaka amewataka wale wote wanaotakiwa kutimiza wajibu wao ili Serikali iweze kukamilisha miradi yake kwa wakati.

"Hakikisheni mnatimiza wajibu wenu kuanzia ngazi zote ikiwa ni pamoja na kutembelea Miradi ambayo ipo katika maeneo yenu, sio kuishia kujadiliana mihtasari kwenye vikao vyenu vya Halamshauri" Amesema Mhe. Mtaka

Kwa upande wake Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Pindi Chana amewataka watumishi wote wa Serikali kutimiza wajibu wao kikamilifu Ili kumsaidia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kutekeleza ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa ni miongoni mwa Halmashauri zilizohudhiria Kikao kazi hicho sambamba na Wakuu wa Wilaya, Makatibu Tawala Wilaya, Kamati za  Usalama za Wilaya, Wakurugenzi Watendaji wa Halmashauri  na Wasimamizi wa Taasisi mbalimbali Serikali ngazi ya Wilaya.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.