• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA MIUNDOMBINU IMEFANYA ZIARA WILAYA YA LUDEWA

tarehe Iliyowekwa: June 12th, 2022

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya

Miundombinu imeishauri Wizara ya Ujenzi

na Uchukuzi katika ujenzi wa kushirikisha

wadau kutoa vipaumbele kwa miradi ya

barabara za kiuchumi kwa Taifa na ile ya

kimkakati ili kufanikisha malengo makuu

ya Serikali.

Hayo yamesemwa mkoani Njombe

na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe.

Selemani Kakoso wakati Kamati hiyo

ilipotembelea na kukagua maendeleo

ya ujenzi wa barabara ya Itoni - Ludewa

- Manda (km 211.4), sehemu ya Lusitu

- Mawengi (km 50), inayojerngwa kwa

kiwango cha zege na kuridhishwa na

hatua zilizofikiwa za ujenzi huo.

"Kamati inaangalia miradi ya kimkakati

hivyo Wizara katika mipango yenu

hakikisheni mnazingatia barabara

zitakazokuza uchumi wa Taifa na

kurudisha gharama kwa haraka",

amesema Mwenyekiti huyo.

Mhe. Kakoso ameeleza kuwa ukamilikaji

wa barabara hiyo utaenda sambamba na

ongezeko la mizigo katika Bandari nchini

kwa kuwa katika Mkoa wa Niombe ndipo kwenye uzalishaji mwingi wa mazao ya
misitu, makaa ya mawe ya Mchuchuma
na madini ya chuma cha Liganga na hivyo
kutaongeza zaidi mapato kwa Serikali.

"Mkoa wa Njombe ni mkoa tajiri sana
kwani una rasilimali kubwa ambazo
zinaweza zikatengeneza pato kubwa
la Taifa na GDP ya kwetu kupanda
kwa kiwango kikubwa", amefafanua
Mwenyekiti wa Kamati.


Aidha, Kamati imempongeza Mhe. Samia
Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania kwa kuendelea
kutoa fedha za ujenzi wa miundombinu
ya barabara na madaraja kwa wakati na
kufungua uchumi wa mwananchi mmoja
mmoja na kuchochea biashara kati ya
mikoa kwa mikoa na nchi kwa nchi.

"Tumeelezwa kuwa tayari mkandarasi wa
sehemu ya kwanza ya barabara hii kuanzia
Itoni - Lusitu (km 50), ameshakabidhiwa
eneo kwa ajili ya kuanza ujenzi hii ina
maana kubwa kuwa Serikali ipo kazini
na inaendelea kuifungua barabara hii",
amesema Mhe. Kakoso.

Vilevile, Kamati imeishauri Serikali
kutafuta fedha kwa ajili ya kuunganisha
mkoa wa Njombe na Morogoro kwa
barabara za kiwango cha lami kuanzia
Kibena - Lupembe - Madeke - Mlimba -
Ifakara - Mikumi kwa kuwa ni barabara ya
kiuchumi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.