• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

JIBU LA MBIO ZA MWENGE WA UHURU MWAKA 2022 HILI HAPA

tarehe Iliyowekwa: March 23rd, 2022

Mwenge wa Uhuru unaashiria nuru na mwanga.Uliwashwa kwa mara ya kwanza nchini Tanzania juu ya kilele cha mlima Kilimanjaro mwaka 1961.

Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2022 unatarajiwa kuwashwa rasmi Aprili 02, 2022 na Mwenge huo utawashwa katika Mkoa wa Njombe na baada ya hapo kuanza rasmi kukimbizwa kwenye Wilaya za Mkoa wa Njombe na hatimaye kuukabidhi rasmi katika Mkoa wa Ruvuma pale daraja la Ruhuhu lililopo Wilaya ya Ludewa.

Na kwa mwaka huu 2022 mwenge huu utakimbizwa mikoa yote nchini Tanzania na kwa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa unatarajiwa kukimbizwa Aprili 07, 2022.

Mwenge huu unamulika nchini na nje ya mipaka ili kuleta matumaini pale ambapo kuna kukata tamaa, upendo pale kwenye chuki na heshima pale penye dharau.

Sisi wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa tupo tayali kuupokea mwenge wa uhuru kwenye Wilaya yetu na Kuilinda Amani na kudumisha Upendo.

Kila mwaka kuna mbio za mwenge zinazoanzia kwenye mikoa tofauti kuwakumbusha Watanzania jukumu lao la kulinda uhuru, umoja na amani ambavyo vimekuwepo na kudumu.

Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa kwa kutambua umuhimu na wajibu wetu wa kulinda Uhuru Umoja na Amani ndani ya Halmashauri yetu tunasema karibu Mwenge wa Uhuru Wilayani Ludewa,tupo tayali kuiangazia miradi ya kimaendeleo mikubwa iliyo kamilika,inayo endelea na inayo tarajiwa kuanza.

Mwenge wa Uhuru kwa mawaka 2022 unakimbizwa ukiongozwa na kauli mbiu isemayo,SENSA YA WATU NA MAKAZI:SENSA NI MSINGI WA MIPANGO YA MAENDELEO,SHIRIKI KUHESABIWA,TUYAFIKIE MAENDELEO YA TAIFA.

Sambamba na hayo mengi mazuri ya ujio wa mwenge kwenye Wilaya yetu ya Ludewa,Tunaendelea na utoaji elimu kwa kila idara ambapo siku hiyo ya Mwenge unapo wasili kwenye Wilaya yetu ya Ludewa tutatoa taarifa ya namna ambavyo tunaendelea na utoaji elimu na Mapambano dhidi ya VVU/UKIMWI,MAPAMBANO DHIDI YA MALARIA,MAPAMBANO DHIDI YA MADAWA YA KULEVYA,MAPAMBANO DHIDI YA RUSHWA,JINSI WILAYA INAVYO ELIMISHA WANANCHI KUHUSU LISHE,MATUMIZI SAHIHI YA TEHAMA.

Swali liliulizwa kwamba,Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2021 aliitwa nani? na akaongeza kwa swali hilo hilo la kwanza kuwa mwaka huu 2022 anaitwa nani?

Na katika swali la pili aliuliza kwamba Mwenge wa Uhuru Mwaka 2022 Utazimwa Mkoa gani? kwa jibu ambalo limewekwa kwenye Website yetu ya Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa?

Mamia ya watanzania  wametiririka kujibu swali la kwanza kwa jibu sahihi japo wengi wamekosea namna yakuandika cheo cha mkimbiza Mwenge Mwaka 2021,Niukweli usio pingika kwamba Mwaka 2021 Kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru alikuwa Ndg.Luten Josephine Mwambashishi kutoka Jeshi la Wanchi Tanzania na katika swali la pili ambalo wengi mmekosa jibu kwa kushindwa kujieleza ulitakiwa ujibu hivi,Kwa mwaka 2022 Ratiba ya Mbio za Mwenge wa Uhuru ilitolewa lakini haikuweka bayana Kiongozi wa Mbio za mwenge hivyo tunatarajia hivi karibuni Serikali itamtangaza kiongozi wa mbio za mwenge.

Na katika swali la pili liliulizwa hivi, Mwenge wa Uhuru Mwaka 2022 Utazimwa Mkoa gani? kwa jibu ambalo limewekwa kwenye Website yetu ya Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa? 

Swali hili wengi wamejaribu kulijibu kwa matokeo chanya na wakakoseshwa na shariti la jibu linalo patikana kwenye Website yetu,Ulipaswa ujibu kuwa,mWENGE WA UHURU KWA KWA MWAKA 2022 UTAADHIMISHA KILELE CHAKE KATIKA MKOA WA KAGERA,WATU WENGI HUJA NA DHANA YA MWENGE WA UHURU HUZIMA NA TAFSIRI YA KUZIMA NADHANI ITAKUWA INAWELEWEKA,NAMI LEO NAKUONGEZA KITU HAPA MWENGE WA UHURU ULIWASHWA TANGU MWAKA 1961 NA MIAKA YOTE TANGU HAPO HUWA TUNAADHIMISHA KILE KILICHO FANYIKA MIAKA YA 60 ILIYO PITA MWENGE ULIWASHWA NA HAUTA ZIMIKA KAMWE KWA ISHARA YA NURU  NA MWANGA NA KUZILINDA TUNU ZETU TULIZO NAZO.

Endelea kufuatilia kurasa zetu za mitandao ya kijamii mengi mazuri nakuletea sasa kaa mkao wa kupata swali lingine. 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.