• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

HALMASHAURI YA WILAYA YA LUDEWA TUMESHIRIKI MAONESHO YA UTALII KARIBU KUSINI 2023 KATIKA VIWANJA VYA KIHESA KILOLO - IRINGA.

tarehe Iliyowekwa: September 28th, 2023

Na Chrispin Kalinga

Maonesho ya Utalii Karibu Kusini yanalengo  la  kutangaza vivutio vya Utalii na maeneo ya uwekezaji nyanda za Juu Kusini.

Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa ina maeneo makubwa ya uwekezaji wa viwanda na maeneo ya Utalii, kama uwepo wa Ziwa Nyasa, Mlima Mrefu nyanda za juu Kusini Mlima Livingstone Madunda, Historia ya Makabila ikiwemo kaburi  la Chifu Kidulile, udongo wa vyungu vyenye ubora Tanzania, mawe ya Chuma, barabara za kitalii ikiwemo barabara ya kutoka Mbwila hadi Lifuma, pamoja na   miti mikubwa ya  asili katika mashamba makubwa tofauti likiwemo la Milo.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Sunday Deogratias amesema Kitengo cha Biashara na Uwekezaji pamoja na Eneo la Utalii wamejipanga kuhakikisha kuwa mwekezaji anapofika Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa anapata huduma stahili kwa haraka ili aweze kuwekeza kwani kwa kufanya hivyo mapato ya ndani na  nchi kwa ujumla  yanaongezeka na watanzania wanapata ajira.

Aidha amewakaribisha watanzania kufanya utalii wa ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa ili kujionea vitu mbalimbali vinavyopatikana Wilayani Ludewa kama Madini ya Chuma, Chokaa na hata Makaa ya Mawe amabayo hivi karibuni Uchimbani unaanza.

Maonesho ya Utalii Karibu Kusini 2023 yamemalizika leo katika viwanja vya Kihesa Kilolo yaliyozinduliwa tarehe 23/09/2023 na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mheshimiwa Angellah Kairuki(MB) ambapo Mikoa 10 imeratibu Maonesho hayo ya Utalii Karibu Kusini na waoneshaji zaidi ya 130 wameshiriki.

Na leo tarehe  28 Septemba 2023 yamehitimishwa na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Exaud Kigahe

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.