• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

HAKIKA SERIKALI YA AWAMU YA SITA IMETEKELEZA KWA VITENDO ILANI YA UCHAGUZI YA MWAKA 2020/2025

tarehe Iliyowekwa: September 13th, 2023

Na. Chrispin Kalinga

Katibu wa Chama Cha Mapinduzi CCM wa Wilaya ya Ludewa, Ndg. Gervas Ndaki wakati amewaeleza wananchi wa kata ya Mundindi utekelezwaji wa Ilani ya Uchaguzi ya mwaka 2020/2025 katika mkutano wa wazi wa mkuu wa Wilaya ya Ludewa uliokuwa umewakusanya wananchi wa kata hiyo kwaajili ya uzinduzi wa Zahanati ya Chimbo na upokeaji vifaa tiba na dawa zilizonunuliwa za kituo cha Afya Mundindi amesema kuwa, wananchi wasikubali kudanganywa na watu juu ya utekelezwaji wa miradi ya kimaendeleo inayotekelezwa katani hapo na kudai kuwa Kata ya Mundindi imepokea fedha nyingi za utekezaji w miradi mbalimbali ikiwa ni pamoja na miradi ya Elimu, Afya na Maji.

Ndaki amesema kuwa, serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mwenyekiti wa Chama hicho ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea kutekeleza miradi mingi kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Kila mahali na sekta serikali inatekeleza miradi ya kimaendeleo.

Aidha akasema, "Wakati wa kampeni thlipita hapa na kuomba kura kwenu wananchi, na tukaahidi kujemga kituo cha Afya Mundindi na leo kituo hiki hapa kinaonekana kikiwa kimekamilika na tayari serikali imeajiri watumishi kituo kinatoa huduma, na Bado leo Mkuu wa Wilaya amekagua vizaa,dawa zilizonunuliwa na ameagiza hapa huduma ziendelee, niwaombe Ndugu zangu sisi ndio wa kuyasema haya kwa vitendo, mtu akija hapa akisema serikali imefanya nini mleteni hapa kwenye kituo cha Afya, mpelekeni Mundindi kwenye Madara 9 mpelekeni shule ya watu wenye nahitaji maalumu akashuhudie utekelezwaji wa Ilani ya uchaguzi iliyotekelezwa kwa kishondo" Alisema Ndaki.

Yote hayo yameongelewa Jana Septemba 12, 2023 wakati wa mkutano wa wazi uliofanyika kata ya Mundindi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.