• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

Habari kubwa katika Jarida la Ludewa ni pamoja na Jeshi la Polisi Ludewa waendelea kutoa elimu ya unyanyasaji wa kijinsia

tarehe Iliyowekwa: June 3rd, 2022

Katika Jarida letu la leo ukiondoa habari  kuu yagazeti letu Leo nimekusogezea taarifa mbalimbali kutoka ndani ya Wilaya yetu.

Na moja ya habari hizo ni pamoja na Jeshi la Polisi Wilaya Ludewa linaendelea kupaza sauti kwa kuwafikia wananchi moja kwa moja kwa kuwapa elimu ya Ukatili wa kijinsia na kuwasihi watanzania wote wa Wilaya ya Ludewa kuachana na vitendo vya kikatili ambavyo hivyo hupelekea vifo.

Aidha Inspector Violeth GIdeon amepaza sauti kwa kuzifikia Tarafa zaidi 3 za Wilaya ya Ludewa kwa kuendelea kuelimisha na Kuhamasisha kutokomeza Ukatili wa kijinsia huku akibainisha kwa kuwapa uhuru wananchi wote kutoa taarifa za ukatiki wanapo ziona katika kituo chochote cha Polisi.

Wananchi hupata fursa ya kuuliza maswali na kupatiwa ufumbuzi na huku Inspector huyo akiwasihi wanawake kuacha Ukatili kwa watoto na kwawaume zao na akawasihi wanaume kutoa taarifa katika Dawati la jinsia pindi wanapo fanyiwa ukatili na wanawake zao.

*"Nitumie nafasi hii hadhimu kuwasihi wanaume,msione haya kuja kutoa taarifa ya Ukatili pindi mkeo anapo kukatili nenda kituo cha Polisi Dawati la jinsia litakusikiliza na kutafuta suluhisho la tatizo hilo nakuwafanya muishi kwa Amani na Upendo."* alisema inspector

Pamoja na hayo mengi bado katika Jarida letu limetoa taarifa ya elimu ya lishe,ambapo hapo tunakumbushwa kuwa mlo bora kwa watoto wetu itasaidia kuondokana na Udumavu ambao kwasasa kwa Halmashauri yetu ya Ludewa  tunataka kuutokomeza kabisa Udumavu.

Katika hatua nyingine hivi karibuni Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Sunday Deogratias alitangaza ajira 8 na mwisho wa kutuma barua za maombi ya kazi ni tarehe 08/06/2022 hivyo watanzania wote mnakumbushwa kutumia fursa hii kwa siku zilizo salia kuomba kazi.

Hali kadhalika wananchi wa Kata ya Milo Wilayani Ludewa wametoa hisia zao kwa kumshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kuziinua kaya masikini kwa Kuziwezesha fedha ambayo imewafanya maisha yao yabadilike.

Baadhi ya wananchi wa Kijiji cha Mapogoro katani Milo wamesema TASAF imewawezesha na kufikisha kujiinua kiuchumi hukubwengi wao fedha hiyo wakiielekeza kwenye Mashamba na wengine wamenunua mifugo na kuifuga na kukarabati nyumba zao.

Lakini pia Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Sunday Deogratias ametuma salamu za pongezi kwa Kata ya Madilu kwa kuonesha ukomovu na shauku kubwa ya maendeleo ya Wilaya haswa katika eneo la elimu kwa kufanikiwa kujenga nyumba ya mwalimu wa shule ya msingi Madilu ambapo ujenzi wake unatarajia kukamilika mwaka huu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.