• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

ELIMU YA LISHE YAENDELEA KUTOLEWA KILA KATA LUDEWA

tarehe Iliyowekwa: March 21st, 2023

Afisa Lishe wa Wilaya ya Ludewa Bw. Mwitambe  Samsoni Jana Machi 20, 2023 amekamilisha zoezi la utoaji elimu kwa Tarafa 3 za Wilaya ya Ludewa ikiwa ni pamoja na Tarafa za Mawengi,Masasi na Tarafa ya Liganga.

Katika utoaji wa elimu ya Lishe aliambatana na na watumishi wa idara ya Afya pamoja na Viongozi wa serikali za mitaa  akiwemo Watendaji wa Kata, Watendaji wa viijiji husika.

Elimu iliyotolewa kwa wazazi na Walezi wa watoto ni pamoja na namna bora ya mchanganyiko wa vyakula kwa ajili ya kupambana vikali na udumavu.

Aidha wakati akitoa elimu kwa Wazazi na Walezi aliwaelekeza kuwa, licha kuwa bize na shughuli za kila siku kuna haja ya kuzingatia  Lishe kwa watoto wao ili waendelee kutokomeza udumavu Kwa watoto maana mtoto mmoja akipata udumavu kwenye familia ni hasara kubwa Kwa familia na taifa Kwa ujumla.

Bw. Samson aliyasema hayo alipokuwa katika uwanja wa zahanati ya Kijiji cha Mbwila na kuongeza kwa kusema kuwa, Wilaya ya Ludewa imejipanga vyema kuendelea kutoa elimu ya Lishe kila Kijiji cha Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa na ifikiapo Juni 30, 2023 wanatarajia kuvimaliza Vijiji vyote.

Pamoja na hayo aliwaomba kubadili mwenendo mzima wa uendeshaji wa siku ya Afya na Lishe ya vijiji kwa kuwekana wazi kuhusu suala la udumavu Kwa watoto wao na kuweka mikakati thabiti ya kutokomeza kwani vyakula wanavyo na elimu imekuwa ikitolewa Kila siku.

"Kwenye udumavu hakuna kuficha,tunatakiwa kutoa taarifa ya mtu ambaye hajari mtoto wake katika suala la kumpatia chakula sahihi maana tunawajua na tunaishi nao majumbani mwetu.

Mwisho afisa lishe aliwakumbusha akina mama wote kuzingatia vyakula makundi matano ili kuondoa udumavu maana huanzia tumboni mwa mama akiwa mjamzito kama hapati vyakula vyenu makundi matano na kuendekea na ushauwishi kwa akina baba kuhudhuria siku ya afya na lishe ya Kijiji maana ni muhimu sana katika suala zima la kuondoa udumavu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.