• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

WAZIRI NAPE AWAFUNZA MAAFISA HABARI

tarehe Iliyowekwa: March 30th, 2023

Waziri Nape Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe.Nape Nnauye (Mb) aliwataka maafisa Habari,Mawasiliano na Uhusiano Serikalini kuhakikisha wananchi wanapata taarifa sahihi na kwa wakati na kuacha utamaduni wa kusubiri mpaka taarifa za upotoshaji zitokee ndio watoe taarifa za kujitetea.

Waziri Nape aliyabainisha hayo jana Machi 29, 2023 wakati akizungumza katika kikao kazi cha 18 cha Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano wa Serikali kinachoendelea kufanyika katika Ukumbi wa Kimataifa wa Mikutano wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam.

"Tuulishe umma taarifa sahihi na kwa wakati, ukiona inafikia hatua unatakiwa kutoa taarifa ya kujitetea basi ujue kuna mahali unakosea", Alisema  Waziri Nape.

Aliongeza kuwa, "Maafisa Habari, Mawasiliano na Uhusiano ndio mmebeba taswira na mitazamo ya taasisi zenu, taswira na kutazama inatengenezwa hivyo ni wajibu wenu kutengeneza mitazamo chanya ya taasisi mnazotumika".

Alisisitiza kuwa, kada ya maafisa habari ina umuhimu wa kipekee na iwapo wakitimiza majukumu yaonipasavyo

wataongeza thamani na umuhimu wao katika taasisi wanazofanya kazi.


"Nimepokea changamoto zernu za bajeti na vitendea kazi, sasa nitoe wito kwenu wa kuhakikisha mnatimiza wajibu wenu ili ninapoenda kupigania haki zenu na nyie muwe mmeonesha

thamani ya uwepo wenu",

"Uafisa habari ni ajira, ni jukumu la kulinda taswira ya taasisi

yako, na pia ni fursa ya kubadili maisha binafsi na Taifa kwa

ujumla iwapo ukifanya vizuri katika eneo lako', alimasema Waziri Nape.

@chrispin_b__kalinga

Matangazo

  • TANGAZO LA USAILI MAKARANI WA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 AGOST, 23 July 17, 2022
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI TAREHE 11-11-2021 October 27, 2021
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • TAARIFA KWA UMMA

    June 07, 2023
  • KAIMU KATIBU TAWALA WA WILAYA YA LUDEWA AONGOZA KIKAO KAZI

    May 31, 2023
  • Mhe. Samia Suluhu Hassan ashiriki kikao cha makatibu mahsusi

    May 27, 2023
  • AMAELEKEZO KWA WAFANYABIARA WILAYANI LUDEWA

    May 23, 2023
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.