• Wasiliana Nasi |
    • MMM |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
Ludewa District Council
Ludewa District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mipango na Uchumi
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo ya Jamii
      • Afya
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Ujenzi
      • Maji
      • Kilimo na Ushirika
      • Usafi na Mazingira
      • Mifugo na Uvuvi
    • Vitengo
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ufugaji Nyuki
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Shughuli za Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Samaki
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Fedha, Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Huduma za UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba ya Vikao
      • Ratiba ya Vikao vya Madiwani
      • Kazi za Mwenyekiti Ofisini
  • Miradi
    • Miradi Iliyo Kwenye Mpango
    • Miradi Inayotekelezwa
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo za Halmashauri
    • Mkataba wa Huduma kwa Mteja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti
    • Fomu
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba za Viongozi
    • Habari Picha

CHANJO YA UVIKO-19: DC LUDEWA AZINDUA ZOEZI LA CHANJO. AWATOA HOFU WANANCHI NA KUWATAKA WAJITOKEZE KWA WINGI KUCHANJA KWA HIARI.

Tuesday 15th, July 2025
@UKUMBI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA LUDEWA

HOTUBA YA UFUNGUZI WA KIKAO CHA KAMATI YA AFYA YA MSINGI (PHC) 

05 JULAI, 2021 NA UZINDUZI WA CHANJO DHIDI YA UGONJWA WA VIRUSI 

VYA CORONA (UVIKO-19) WILAYA YA LUDEWA ILOYOSOMWA NA 

MHESHIMIWA ANDREA A.TSERE MKUU WA WILAYA YA LUDEWA

                                                                      •Ndugu Mkurugenzi wa Halmashauri,
                                                                      •Kamati ya Ulinzi za Usalama,
                                                                      •Ndugu Viongozi wa Madhehebu ya Dini,
                                                                      •Wakuu wa Idara, Vitengo na Wataalamu mbalimbali,
                                                                      •Wanahabari,
                                                                      •Mabibi na Mabwana.

AWALI YA YOTE NAWASALIMU KWA JINA LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA;
                                                                     KAZI IENDELEEEEEEE............

Ndugu Washiriki,

Nitumie fursa hii kwanza Kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutuwezesha kuwepo hapa siku hii ya leo, pili niwashukuru washiriki wote kwa kuona umuhimu wa kikao hiki na mahudhurio mazuri hasa ukizingatia majukumu mengi tuliyonayo.

Napenda pia kuwashukuru Mkurugenzi Mtenfdaji wa Wilaya na Mganga Mkuu wa Wilaya kwa kuratibu maandalizi ya kikao hiki muhimu.

Ndugu Washiriki,

Lengo kuu la kufanya kikao hiki ni kuwajengea uelewa wajumbe wa Kamati ya Afya ya Msingi Msingi (PHC) juu ya uanzishwaji wa chanjo dhidi ya janga la UVIKO 19 chanjo hii ni salama imethibitishwa na Mamlaka ya dawa na vifaa tibaTanzania na Mkemia Mkuu wa Serikali. Naomba tuunge mkono jitihada za Serikali na Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuilinda jamii na magonjwa ya kuambukizwa ikiwemo UVIKO 19.

Ndugu Washiriki,

Makundi yatakayoanza kupata chanjo hizi ni Watumishi wa Afya, Wazee zaidi ya miaka 49, na wenye magonjwa sugu miaka 18 – 49 na huduma zitatolewa katika Hospitali ya Wilaya Ludewa, Hospitali ya Lugarawa, Hospitali ya Milo, Kituo cha Afya Manda, Kituo cha Afya Mlangali na Kituo cha Afya Makonde.

Ndugu Washiriki,

Kupitia kikao hiki muhimu mtajifunza kuhusu chanjo ya UVIKO – 19 ambayo tumepokea kwa ajili ya kuwakinga wananchi na janga la ugonjwa wa CORONA ili mtusaidie kuelimisha jamii na kuondoa mitazamo hasi iliyopo katika jamii inayotokana na mitandao ya kijamii juu ya Chanjo hii.

ASANTENI SANA KWA KUNISIKILIZA.

HABARI PICHA:

Picha 1: Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Mhe. Andrea Tsere akizungumza katika kikao na wajumbe wa kamati ya Afya ya Msingi wakati akizindua zoezi la Chanjo dhidi ya UVIKO-19. Kulia kwake ni Ndg. Sunday N. Deogratius Mkurugenzi Mtendaji Wilaya akifuatiwa na Dr. Stanley Mlay Mganga Mkuu wa Wilaya.


Picha 2: Mganga Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Dr. Stanley Mlay akitolea ufafanuzi na Kuelimisha washiriki wa kikao masuala yanayohusiana na UVIKO-19 na Chanjo ya UVIKO-19


Picha 3: Mkuu wa Wilaya ya Ludewa Mhe. Andrea Tsere akipata chanjo ya UVIKO-19 katika zoezi la Uzinduzi wa chanjo hiyo Wilayani Ludewa.

Picha 4: Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Ludewa Ndg. Sunday Deogratius akiwa pamoja na Katibu wa Chama cha Mapinduzi Wilaya Ndg. Bakari Mfaume (katikati) na OCD Ludewa Afande Massawe wakiwa katika foleni ili kupata Chanjo ya UVIKO-19 katika zoezi la uzinduzi wa chanjo Wilayani Ludewa

Picha 5: Viongozi wa Dini, Wataalamu wa Afya mbalimbali na wananchi wakiwa katika Kikao cha kupata elimu juu ya chanjo ya UVIKO-19

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI January 10, 2025
  • MATOKEO YA USAILI WA KUANDIKA NAFASI YA MTENDAJI WA KIJIJI III, NA WITO WA USAILI WA ANA KWA ANA KWA WALIOCHAGULIWA November 11, 2021
  • TAADHARI YA UGONJWA WA POLIO LUDEWA March 24, 2022
  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI YA KATIBU MAHSUSI III NA DEREVA II May 25, 2022
  • Tazama zote

Habari za Punde

  • MKUU WA WILAYA LUDEWA AUNGANA NA WANANCHI KUADHIMISHA SIKU YA MAZINGIRA DUNIANI KWA KUSAFISHA MAZINGIRA

    June 05, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEWA WILAYANI LUDEWA NA KUTEMBELEA MIRADI MITANO(5)

    May 07, 2025
  • WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA MH. SELEMANI JAFO AAHIDI KUANZISHWA KWA MRADI WA LIGANGA NA MCHUCHUMA HIVI KARIBUNI

    February 19, 2025
  • ZIARA YA WAZIRI WA VIWANDA NA BIASHARA, MHE. DKT. SELEMANI JAFO MKOANI NJOMBE, WILAYANI LUDEWA.

    February 17, 2025
  • Tazama zote

Video

Video Zaidi

Kurasa za Haraka

  • Dira na Dhima
  • Utawala na Rasilimali Watu
  • Historia
  • Misingi Mikuu
  • Orodha ya Madiwani
  • Miradi Iliyokamilika

Kurasa Mashuhuri

  • Ofisi ya Rais TAMISEMI
  • Ofisi ya Rais IKULU
  • Tovuti Kuu ya Wananchi
  • Wizara ya Afya
  • Tume ya Taifa ya Uchaguzi
  • TANePS

Wanaotembelea Tovuti

world map hits counter

Idadi ya Wasomaji

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana Nasi

    Ludewa - Njombe

    Sanduku la Barua: 19

    Simu: 026-2790120

    Simu ya Rununu:

    Barua Pepe: ded@ludewadc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • MMM
    • Ramani ya Eneo
    • Huduma

Copyright ©2022Ludewadc . All rights reserved.